kwa mujibu wa mrisho gambo milya ameondoka na pesa hizo ambazo zilikuwa za kuanzisha saccos ya uvccm. Amemtaadharisha mbowe kuwa millya ni tapeli.....sielewi ni kwa nini wamekaa na tapeli muda wote huo bila kumchkulia hatua ina maana ccm wanafuga matapeli?
CCM acheni longolongo, mlikuwa wapi kuyasema hayo siku zote???
Amekuwa tapeli baada ya kuondoka UVCCM? Na UVCCM kama taasisi haina akaunti benki? Ni kwa nini basi fedha za taasisi akae nazo mtu binafsi? Acheni siasa chafu jamani. Haya mnayoyasema yatawarudi ninyi
saccoss gani ya kufungua kwa sh mil 2?acheni uhuni,hilo jengo la ofisi yenu mnglilipia sh ngapi kwa mwaka?hao wanasheria wa kusimamia hiyo mikopo mngewalipa kiasi gani na hao wahasibu wa kupiga hesabu za riba mngewalipaje kwenye hiyo mil 2?na ni kiasi gani mngetenga kwa ajili ya kukopesha?kwa mujibu wa mrisho gambo milya ameondoka na pesa hizo ambazo zilikuwa za kuanzisha saccos ya uvccm. Amemtaadharisha mbowe kuwa millya ni tapeli.....sielewi ni kwa nini wamekaa na tapeli muda wote huo bila kumchkulia hatua ina maana ccm wanafuga matapeli?
source: ITV news