Ole Medeye na nyota ya siasa iliyofifia

mozes

Senior Member
Jan 11, 2012
115
21
Ndugu wanajamvi mtakumbuka mwaka 2010 uchguzi mkuu mh huyu alipoamua kuacha kazi yake pale mawasiliano tower na kuja kugombea jimboni Arumeru magharibi. Mh Ole Medeye alifanikiwa kushinda kuwa mbunge na pia kufanikiwa kuingizwa kwenye baraza la mawaziri kama naibu wazir Ardhi. Mh huyu aling'ara sana kipindi hicho ambacho alianza siasa.


Toka aingie bungen huyu jamaa sijawahi ona mchango wake wenye tija kwa wana Arumeru, wala kufanya mikutano kwetu sisi wananchi wake. Mh huyu ndo yeye alietisha kikao cha malaigwanani pale arusha tec ili kuhamasisha ukabila na kwa bahati mbaya hizo siri zilivuja na ndo maana Lema aliposema bungen mkuu wa kaya alifanyia hizo taarifa kazi na akaamua kumtoa kwenye baraza la mawaziri. Huyu mh kwa sasa kwa kweli hakubaliki jimboni na hata akija kwake (tuko jirani) anaogopa kufungua vioo vya gari kama zamani. Mbaya zaidi hata ndani ya ccm wamemchoka huku jimboni na wanamipango lukuki ya kumwondoa. Wananchi wameshaonesha hasira zao baada ya sehemu kubwa ya mitaa kuchukuliwa na chadema.

Huyu kiongozi hana jipya zaidi ya kujipotezea muda.
 
Unasema aling'ra mwanzoni!!? Huyo ni baadhi ya wabunge wengi wa CCM walioingia bungeni kwa uchakachuaji.

Hana uwezo na hajawahi kuwa na uwezo na huo uwaziri aliupata kwa mitazamo ya kubalance kanda zote ziwe zimetoa mawaziri.
 
Medeiye asahau ubunge na ndiyo mwisho wake, last week nilikuwa jimboni kwake aisee jamaa hawamkubali kabisa.
 
Ole Medeye ana laana ya Baba yake mzazi wakati akiwa afisa tawala ofisi ya RDD Baba yake alikuwa akija kumsalia basi akifika mapokezi anaambiwa asubiri Ole akifuatwa na kuambia Baba kaja anagoma kumwona eti hakuwa na ahadi ya kuonana nae.

Jingine ni ukabila alihasisi kikao cha malaigwanani baada ya kushindwa kumdhibiti Lema akaingiza ukabila Kikwete akamtupa nje.
 
Arusha yote inatakiwa kuwa sehemu ya UKAWA... haya yatawezekana tu iwapo CCM itamtosa Lowassa ...
Ndugu wanajamvi mtakumbuka mwaka 2010 uchguzi mkuu mh huyu alipoamua kuacha kazi yake pale mawasiliano tower na kuja kugombea jimboni Arumeru magharibi. Mh Ole Medeye alifanikiwa kushinda kuwa mbunge na pia kufanikiwa kuingizwa kwenye baraza la mawaziri kama naibu wazir Ardhi. Mh huyu aling'ara sana kipindi hicho ambacho alianza siasa.


Toka aingie bungen huyu jamaa sijawahi ona mchango wake wenye tija kwa wana Arumeru, wala kufanya mikutano kwetu sisi wananchi wake. Mh huyu ndo yeye alietisha kikao cha malaigwanani pale arusha tec ili kuhamasisha ukabila na kwa bahati mbaya hizo siri zilivuja na ndo maana Lema aliposema bungen mkuu wa kaya alifanyia hizo taarifa kazi na akaamua kumtoa kwenye baraza la mawaziri. Huyu mh kwa sasa kwa kweli hakubaliki jimboni na hata akija kwake (tuko jirani) anaogopa kufungua vioo vya gari kama zamani. Mbaya zaidi hata ndani ya ccm wamemchoka huku jimboni na wanamipango lukuki ya kumwondoa. Wananchi wameshaonesha hasira zao baada ya sehemu kubwa ya mitaa kuchukuliwa na chadema.

Huyu kiongozi hana jipya zaidi ya kujipotezea muda.
 
Kama nimekosea mtanisahihisha, sio huyu mzee ambaye watu fulani walikuwa wanadai si mtz, bali anatikea nchi fulani ya kaskazini?
 
Ndugu wanajamvi mtakumbuka mwaka 2010 uchguzi mkuu mh huyu alipoamua kuacha kazi yake pale mawasiliano tower na kuja kugombea jimboni Arumeru magharibi. Mh Ole Medeye alifanikiwa kushinda kuwa mbunge na pia kufanikiwa kuingizwa kwenye baraza la mawaziri kama naibu wazir Ardhi. Mh huyu aling'ara sana kipindi hicho ambacho alianza siasa.


Toka aingie bungen huyu jamaa sijawahi ona mchango wake wenye tija kwa wana Arumeru, wala kufanya mikutano kwetu sisi wananchi wake. Mh huyu ndo yeye alietisha kikao cha malaigwanani pale arusha tec ili kuhamasisha ukabila na kwa bahati mbaya hizo siri zilivuja na ndo maana Lema aliposema bungen mkuu wa kaya alifanyia hizo taarifa kazi na akaamua kumtoa kwenye baraza la mawaziri. Huyu mh kwa sasa kwa kweli hakubaliki jimboni na hata akija kwake (tuko jirani) anaogopa kufungua vioo vya gari kama zamani. Mbaya zaidi hata ndani ya ccm wamemchoka huku jimboni na wanamipango lukuki ya kumwondoa. Wananchi wameshaonesha hasira zao baada ya sehemu kubwa ya mitaa kuchukuliwa na chadema.

Huyu kiongozi hana jipya zaidi ya kujipotezea muda.

Alternative yake ni nan hapo?
 
Medeye out mbunge ni mh gibson meseyeki kupitia chadema wana arumeru ndiyo wanamtaka olmedeye ni mzigo huyu hakuna maendeleo yeyote alie tuletea zaidi ya kwenda kuishi dar eti naye anasema hataki ubunge sio hataki hatumtaki huyu
 
Alinishangaza juzi alipokuwa anachangia bungeni alipolalamikia serikali kutokutatua migogolo ya ardhi jimboni kwake pamoja na yeye kufuatilia sana.
Itakumbukwa kuwa akiwa Naibu waziri wa ardhi alikuwa anachochea mgogolo wa viwanja kwenye jimbo lake badala ya kuwezesha kutatua migogolo ya ardhi katika jimbo lake.
Sasa Dogo janja Nasari anafanya kweli kwake.Juzi tu amewezesha hekari 92 za ardhi iliyokuwa imechuliwa na serikali na kuuzwa kwa matajiri kurudishwa kwa wananchi wa Arumeru Mashariki.
 
Ole Medeye ni mtu mwenye vision, anajua kuona mbali!, hata mkisikia kiongozi yoyote anajiunga na TLP wakati huu, ujue ni mtu mwenye vision, anajua kuona mbele!.

Pasco
 
Back
Top Bottom