Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Huyo jamaa alishindwa uchaguzi uliopita na mgombea wa cdm anayeitwa Olekishambuu! Nec wakaamua kumtangaza Medeye, EL akiwa nyuma ya mkurugenzi wakati website ya nec ikiwa imeshajazwa jina la mgombea wa cdm kama mshindi! Kimsingi ni mbunge wa Nec na sio wa wana Arumeru West!
Mathias Ole Kisambu alitangazwa mshindi, lakini cha ajabu kesho yake Olemedeye akatangazwa mshindi.
Inasemekana Ole Kisambu aliupiga bei ushindi wake.
Kwakuwa CDM wana madiwani wengi Arumeru Magharibi, kinachotakiwa ni kumsimamisha mtu mwingine anayekubalika kwa wananchi wa Arumeru tofauti na Ole Kisambu.
Kwa mfano yule diwani wa Olturoto, anajituma sana kufanya kazi za maendeleo. Hata Kendo wa Kata ya Sokon two.