Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
"kama mtu mwenye akili akikupa wazo la kijinga akijua na wewe una akili nawe ukalikubali (wazo hilo) atakudharau" - Nyerere (Mei Mosi 1995, Mbeya)[/QUOTE
Mzee Mwanakijiji,
Asante sana nilighafilika kidogo kwenye hiyo quote. Sasa kweli MAFISADI wanaonyesha kutudharau. Let's not let them get away with it this time. Naamini kabisa huyo MWEZA YOTE yuko pamoja nasi na hatatutupa.