Viongozi wote wa CUF wilaya ya Musoma wamejiuzulu uongozi na kujitoa uanachama wa chama hicho.
Viongozi hao ni viongozi wote wa wilaya na kamati yote ya utendaji.Pia wapo waasisi wa chama waliojitoa.
Sababu kubwa ya kujitoa ni kulaani ubaguzi ndani ya chama na pia kusema chama hicho kimeshakufa na kinasubiri kuzikwa.
Juzi Mtatiro kaja Urambo ilikuwa aibu! Watu walikuwa kiduchu sana hadi huruma, watajuta usaliti wa Maalim kwa wazanzibar utawatafuta hadi wabakie mifupa. Maalim, Mtatiro, Jussa wako kimaslahi zaidi. Maalim Seif ameua chama kabisa kukubali kuolewa na Shein.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.