Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
MUSTAFA WANDWI na HUSSEIN WANDWI nao wamesalimu amri...Aiseeeee! Vyama vya upinzani kweli ni sawa na mitaji isiyotunzwa na wenye nayo.
Duh huyu RPC wangu wa zamani kila akiingia chama cha siasa anakumbana na tafrani. NCCR, CUF sijui wapi next.
Hivi huyu Mtatiro anatufanya sisi watanzania wajinga ati, kila mtu akijitoa chamani yeye anasema aaaah hawa walishafukuzwa zamaaaaani. Hivi hadi sasa CUF imeishafukuza wanachama wangapi?