The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
So far hii habari haina ukweli wowote, nafikiri ni story za mtaani and one of those JF breaking news tulizozizoea. Kama hii habari ingekuwa ya kweli tayari nvyombo vya habari vingeshasema. Nimeongea na rafiki yangu ubalozi wa Zambia amekanusha hii habari. So far nafikiri ni zilezile breaking news za Chenge amekufa!!!!!!