Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
ni kweli kabsa hakuna mkamilifu kila mtu ana mapungufu yake sa kwa wanaume hawajui kwamba na wao wana mapungufu yao ila tunawavumilia ila ikija kwetu tumeteleza kidogo basi wanapata sababu ya kutoka na wengine ni uheke wao ata umfanyie kila kitu bado atatoka