sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,025
- 5,256
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache.
Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na umeme vipo nje ya nyumba, Huhitaji nguzo, kunafikika vizuri kabisa. Neighbourhood ni nzuri, usafiri mpaka barabarani ni buku tu ya pikipiki au unatembea tu kwa mguu maana ni 1.2km kutoka barabarani.
Bei yake ni Tshs. Milioni 35. Wasiliana nami kwa 0757914348.
Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na umeme vipo nje ya nyumba, Huhitaji nguzo, kunafikika vizuri kabisa. Neighbourhood ni nzuri, usafiri mpaka barabarani ni buku tu ya pikipiki au unatembea tu kwa mguu maana ni 1.2km kutoka barabarani.
Bei yake ni Tshs. Milioni 35. Wasiliana nami kwa 0757914348.