House4Sale Nyumba inauzwa ipo Goba kwa Mama Chacha. 1.2km kutoka Goba Centre

sajo

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
3,025
5,256
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala na sebule, ipo ndani ya fensi. Inahitaji marekebisho machache.

Uwanja una ukubwa wa 20m x 18m, hauna hati ila kuna mkataba wa mauziano ya kiwanja. Maji ya DAWASA na umeme vipo nje ya nyumba, Huhitaji nguzo, kunafikika vizuri kabisa. Neighbourhood ni nzuri, usafiri mpaka barabarani ni buku tu ya pikipiki au unatembea tu kwa mguu maana ni 1.2km kutoka barabarani.

IMG_20230412_141407_1.jpg
IMG_20230403_140200.jpg
IMG_20230403_140157.jpg
IMG_20230403_140155.jpg
IMG_20230403_140126_1.jpg
IMG_20230403_140124.jpg
IMG_20230403_140203.jpg

IMG_20230324_182629.jpg
IMG_20230324_182609.jpg
IMG_20230324_182618.jpg
IMG_20230202_131640_1.jpg
IMG_20230202_131713_1.jpg
IMG_20230202_131718_1.jpg
IMG_20230202_131726.jpg
IMG_20230202_132046_1.jpg
IMG_20230202_132043_1.jpg


Bei yake ni Tshs. Milioni 35. Wasiliana nami kwa 0757914348.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom