Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 613
Tatizo ni kuwa viongozi walioko pale wamepewa madaraka kiupendeleo na wana imani kuwa bila nguvu ya mtu fulani wao wasingekuwa pale. Inapokuja mtu anayeungwa mkono na mtu aliyewaweka madarakani kafika chuoni kwao ndio inakuwa fursa nzuri kujipendekeza, hivi unaijua sera ya CCm inaitwa JIKOMBE UKOMBOLEWE??? Hiyo sera ndio inawafanya viongozi wengi wa kuteuliwa nchi hii kuwa vipofu na kulazimika kutumia misafara na kupokea maagizo kwa watu kama Nape, Salma, Riziwani, Miraj nk. Hadi hapo upendeleo utakapositishwa tegemea kuendelea kuona huo utaratibu.