Nyongeza ya mishahara

Nyongeza ni danganya toto ni afadhali wasingeongeza chochote. Serikali ya Kisanii. Na ilaaniwe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! JK achia ngazi mzee wa visasi!!!!!!!!!!!!
 
Huyu mama katugombanisha na ndugu na jamaa,wote wanaamini mishahara ipo juu more than 40% kumbe hajaongeza kitu..jamani yaani hili ni balaa.

tatizo sisi WATANZAGIZA tunapenda udaku udaku na we dont read vizuri! sio kwamba mishahara imeongezeka by 40% A BIG NO! but the "SALARY BUDGET HAS INCREASED BY 40%"! na hiyo inaweza kutokea iwapo kuna waajiriwa wameongezeka au watu wamepandishwa vyeo na mishahara, so mimi nazani magazeti yetu hususani yale ya udaku udaku yalipotosha umma au ss waTanzaGiza tulikua hatujaelewa vizuri hili jambo....
Wangekua wameongeza by 40% ungeckia Nape, Pinda, mukama, m.k.were n.k wanapita TZ nzima kusifia mafanikio kaka!
 
Wafanyakazi wamezidi ukondoo,viongozi ni watu tuliowachagua wenyewe sasa tunaposhindwa kuwawajibisha tukabakaki kuugulia kimya kimya basi waache waendelee kutuburuza mpaka hapo tutakapojitambua...lazima ifike mahala wafahamu maisha yao ya kifahari wanayoishi ni kodi zetu na wanawajibika kututengenezea mazingira mazuri na sisi ya kuishi ama sivyo tuishi kidhiki wote sio wananchi pekee..

Okondoo wetu unatuponza. Tukubali kufa kama misri, Libya etc wanavyokufa for the better future of the generation to come. Huwezi kumwongezea mfanyakazi elfu 2,000 Tsh, it is a mockery
 
Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema,sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha. (Soma Waebrania 13:5)
<br />
<br />
wewe acha unafiki wa imani hapa mmezoeza kura vya bure na magamba wako.
 
Nimesikia nyepesi nyepesi kuwa mshahara mpya utaanza mwezi August na siyo July kama ilivyozoeleka!

Si kweli circular imetoka na mishahara mipya tumeona kwenye salary slip, ni matusi!!!! Hizo ni porojo za kuwapoza wafanyakazi waweze ku-absorb shock contrary to their expectation promised
 
tatizo sisi WATANZAGIZA tunapenda udaku udaku na we dont read vizuri! sio kwamba mishahara imeongezeka by 40% A BIG NO! but the "SALARY BUDGET HAS INCREASED BY 40%"! na hiyo inaweza kutokea iwapo kuna waajiriwa wameongezeka au watu wamepandishwa vyeo na mishahara, so mimi nazani magazeti yetu hususani yale ya udaku udaku yalipotosha umma au ss waTanzaGiza tulikua hatujaelewa vizuri hili jambo....
Wangekua wameongeza by 40% ungeckia Nape, Pinda, mukama, m.k.were n.k wanapita TZ nzima kusifia mafanikio kaka!

Let it not be 40%, we have no problem with that amount, but we did not expect a rise of 2,100 Ths!!!!!!!!!!!( I am not sure what percent is this). Huwezi kumwongezea mtu shilingi 2,100, 5300,Tsh eti umeongeza mishahara!!
 
imefikia wakati wafanyakazi tuwe na msimamo wa pamoja,tatizo jamaa huwa wanawagawa wafanyakazi kitu kingine umoja kwa wafanyakazi hakuna ,laiti tungekuwa na umoja tungefanikiwa ukondoo umezidi sana tunashindwa kusimama paoja kudai haki zetu,mfano walimu wakisimama pamoja secta zingine haziwaungi mkono,madaktari wakiungana wengine hawaungani,hapa tunatakiwa tuwe na chama cha wafanyakazi chenye umoja na nguvu viongozi wake wasiwe na tamaa ya pesa
 
Mgaya kagwaya amekuwa zezeta siku hizi wafanyakazi wanateseka yeye anakula rahaaaa na m.mkere

ulaniwe Mgaya unaniwe Hawa Ghasia
 
VIGOGO WA CCM WAPEWA FADHILA YA VIWANJA GEZA ULOLE-kigamboni

WanaJF


Katika hali ya kusikitisha na kusitajabisha mnamo mwezi wa sitta manisipaa ya temeke ilitoa tangazo la
kuuza viwanja 2800 lakini 742 ndo vilivyogwawiwa. siku hiyo wananchi walipanga msitali tokea asubuhi mpaka
saa 10 jion lakini cha kushangaza watu waliopata viwanja ni wale vigogo wa siku zote ina mana siku hawana viwanja??
kwanini kila kitu wanachukua wao??

1. George mkuchika na mtoto wake
JE hawa pamoja na kuiibia serikali hawajalizika naviwanja walivyonavyo?

2. M mwandosya
Kwanin huyu mtu aliwaachia wanaanchi wa kawaida wakapata?

3. khalfani kikwete
Sijui hapa nisemeje?

4. Pinda chana
Hawa wanaendelea kutunyonya

5. R. Dau

Kanyonya sana NssF? na huku tunahesabu maumivu

6. Said mek sadiki na mke wake
Na ukaimu mkuu wa mkoa huna kiwanja?

7 Sophia simba
Sijui huyu anataka viwanja na pesa zote amiliki yeye?? epa??

8. Omari Mzee (zanzibar)

9. HAwa Ghasia na ndugu zake
List ni ndefu ukifika pale temeke utaona watoto wengi wa vigogo ndo wamepota\
HUU NI UNYONYAJI KWA WATANZANIA WA HALI YA CHINI
 
Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wakisema tugome watu wanawaona ni wachochezi tu na kuwaacha wakipambana peke yao matokeo yake ndio haya!
 
Mtalalamika sana kwenye keyboard lakini msipochukua hatua za kumtoa kwa nguvu ya umma itaendelea kula kwenu milele na milele!
 
Wafanyakazi wamezidi ukondoo,viongozi ni watu tuliowachagua wenyewe sasa tunaposhindwa kuwawajibisha tukabakaki kuugulia kimya kimya basi waache waendelee kutuburuza mpaka hapo tutakapojitambua...lazima ifike mahala wafahamu maisha yao ya kifahari wanayoishi ni kodi zetu na wanawajibika kututengenezea mazingira mazuri na sisi ya kuishi ama sivyo tuishi kidhiki wote sio wananchi pekee..
Una akili wewe ! natamani kukufahamu tulianzishe!
 
ninavyojua mimi ni kwamba ridhiwan kikwete ndiye aliyepewa tenda ya kusafirisha mchanga wa madini wa migodi ya barrick hadi bandarini,tena wanatumiaga bandari ya mombasa,..
 
<font size="4"><b>tatizo sisi WATANZAGIZA tunapenda udaku udaku na we dont read vizuri! sio kwamba mishahara imeongezeka by 40% A BIG NO! but the &quot;<u>SALARY BUDGET HAS INCREASED BY 40%&quot;</u>! na hiyo inaweza kutokea iwapo kuna waajiriwa wameongezeka au watu wamepandishwa vyeo na mishahara, so mimi nazani magazeti yetu hususani yale ya udaku udaku yalipotosha umma au ss waTanzaGiza tulikua hatujaelewa vizuri hili jambo.... <br />
Wangekua wameongeza by 40% ungeckia Nape, Pinda, mukama, m.k.were n.k wanapita TZ nzima kusifia mafanikio kaka!</b></font>
<br />
<br />
So kwa mantiki hiyo waziri hakutangaza ongezeko la mshahara wa kima cha chini sio?.....
 
Wafanyakazi wamezidi ukondoo,viongozi ni watu tuliowachagua wenyewe sasa tunaposhindwa kuwawajibisha tukabakaki kuugulia kimya kimya basi waache waendelee kutuburuza mpaka hapo tutakapojitambua...lazima ifike mahala wafahamu maisha yao ya kifahari wanayoishi ni kodi zetu na wanawajibika kututengenezea mazingira mazuri na sisi ya kuishi ama sivyo tuishi kidhiki wote sio wananchi pekee..
<br />
<br />
kwa hiyo tuweke tifu la mitaani?
 
Back
Top Bottom