MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,734
Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho, ila wao ndio wako mstari wa mbele eti kumchangia Raisi Fomu ya Uraisu na zike taasisi za umma zinazo lipwa vyema hawana hio time. Na walimu wanafanya hivyo wakiamini kwamba atawaongezea mishahara wawe sawa na wabunge.
Wabunge wa CCM walio jiongezea mishahara plus Posho hawamchangii Samia pesa ya fomu ya Uraisi. Hii lazima uwe na akili za ukichaaa kuamini jambo kama hili. kwa normal brain ni vigumu sana kuamini.Hii kwenye hii sayaru ya Dunia liko Tanzanua pekee na ni vigumu kulikuta kokote kule Duniani.
Walimu wanafanya hivyo katika misingi ya kuamini ndio njia pekee ya wao kupata masilahi zaidi, Kugoma hawawezi kabisa na haiwezi tokea kamwe. Wanachangishana fomu wakiamini hivyo kitu ambacho hakipo na wala hakitatokea sana sana wangoje pesa zao za kustafu watakazo lipwa.
Wenzao Kenya daily wanagoma na Walimu wa Kenya huwezi sikia huu ujinga kwao, yaani haiweze tokea wajipendekeze kwa wakina Ruto kisa waongezewe mishahara, wao wakitaka nyongeza ni kugoma tu basi.
Taifa kinaangamia kwa upumbavu kama wa hawa walimu wetu.
Wabunge wa CCM walio jiongezea mishahara plus Posho hawamchangii Samia pesa ya fomu ya Uraisi. Hii lazima uwe na akili za ukichaaa kuamini jambo kama hili. kwa normal brain ni vigumu sana kuamini.Hii kwenye hii sayaru ya Dunia liko Tanzanua pekee na ni vigumu kulikuta kokote kule Duniani.
Walimu wanafanya hivyo katika misingi ya kuamini ndio njia pekee ya wao kupata masilahi zaidi, Kugoma hawawezi kabisa na haiwezi tokea kamwe. Wanachangishana fomu wakiamini hivyo kitu ambacho hakipo na wala hakitatokea sana sana wangoje pesa zao za kustafu watakazo lipwa.
Wenzao Kenya daily wanagoma na Walimu wa Kenya huwezi sikia huu ujinga kwao, yaani haiweze tokea wajipendekeze kwa wakina Ruto kisa waongezewe mishahara, wao wakitaka nyongeza ni kugoma tu basi.
Taifa kinaangamia kwa upumbavu kama wa hawa walimu wetu.