CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Hawa Ghasia, Mungu atakulaani. Hii ndio nyongeza uliyowatumainisha wafanyakazi wako. Mungu atakulaani. Amen.
Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema,sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha. (Soma Waebrania 13:5)Wao kwenye bunge wanajiongezea posho tu kisa kuna watu wanawategemea!! Hivi wafanyakazi nao hawana ndugu na jamaa wa kuwategemea? how come sisi 500,000/= itutoshe mwezi mzima na wao 7,000,000/= plus zisitoshe!!? Wanasiasa ni wanafiki wakubwa!!
Keshalaaniwa yule huoni pua lake kama la nguruweHawa Ghasia, Mungu atakulaani. Hii ndio nyongeza uliyowatumainisha wafanyakazi wako. Mungu atakulaani. Amen.
Du pole sana, kaka sidhani kama kuna imani inayoruhusu mwanadam kumlaani mwanadam mwenzie. kwani mkuu wewe umeongezewa kiasi ganiHawa Ghasia, Mungu atakulaani. Hii ndio nyongeza uliyowatumainisha wafanyakazi wako. Mungu atakulaani. Amen.
Keshalaaniwa yule huoni pua lake kama la nguruwe
Umenena vema mkuu!ukondoo wetu ndo unatufanya tuburuzwe kila uchao.Wafanyakazi tubadilike,kama kilichoongezwa ni matusi kwetu basi tuoneshe kwa vitendo kuwa hatukubali kutukanwa!Wafanyakazi wamezidi ukondoo,viongozi ni watu tuliowachagua wenyewe sasa tunaposhindwa kuwawajibisha tukabakaki kuugulia kimya kimya basi waache waendelee kutuburuza mpaka hapo tutakapojitambua...lazima ifike mahala wafahamu maisha yao ya kifahari wanayoishi ni kodi zetu na wanawajibika kututengenezea mazingira mazuri na sisi ya kuishi ama sivyo tuishi kidhiki wote sio wananchi pekee..
Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema,sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha. (Soma Waebrania 13:5)