Nyimbo za Burna Boy hazina Mvuto lakini eti ndio anafunika Afrika nzima

Jamaa ninaelewa wimbo wake mmoja tu ule kilometer, ninahisi ana nguvu nyingine ya ziada inayom-push. Kiuhalisia sio mkali kisanaa kuanzia utunzi wa mashairi hadi video zake lakini ndo star wa Africa na ni miongoni mwa mastar wa dunia weusi kwa sasa.
Najiulizi huyu mwamba ana trend Africa nzima na nje ya Africa anapagawisha sana watu, mimi nimejaribu kusikiliza nyimbo zake naona hata hazina mvuto kabisa lakini amepanda kuwa ndiye Giant kuliko wote.

Nikiangalia nyimbo za Bugati - let me see ololo , who is ur guy na ile ya I wanna see with my lv naona ni nzuri sana pamoja na nyimbo za Nigerian musicians wengine ni nzuri sana kuliko za huyu Burna boy
 
Najiulizi huyu mwamba ana trend Africa nzima na nje ya Africa anapagawisha sana watu, mimi nimejaribu kusikiliza nyimbo zake naona hata hazina mvuto kabisa lakini amepanda kuwa ndiye Giant kuliko wote.

Nikiangalia nyimbo za Bugati - let me see ololo , who is ur guy na ile ya I wanna see with my lv naona ni nzuri sana pamoja na nyimbo za Nigerian musicians wengine ni nzuri sana kuliko za huyu Burna boy
Hujamsikiliza vizuri msikilize tena
✍️
 
Najiulizi huyu mwamba ana trend Africa nzima na nje ya Africa anapagawisha sana watu, mimi nimejaribu kusikiliza nyimbo zake naona hata hazina mvuto kabisa lakini amepanda kuwa ndiye Giant kuliko wote.

Nikiangalia nyimbo za Bugati - let me see ololo , who is ur guy na ile ya I wanna see with my lv naona ni nzuri sana pamoja na nyimbo za Nigerian musicians wengine ni nzuri sana kuliko za huyu Burna boy
Mkuu kaimbe wewe basi
 
Mkuu kaimbe wewe basi
Ni vema tujuwe kuwa mitizamo hutofautiana kati ya mtu na mtu. Na mimi huo ulikuwa ni mtizamo wangu, naamini wapo wanaomuona tofauti na mimi kuhusu Burna Boy.

NAONA UMENIJIBU KWA DHIHAKA.
 
Duu kweli watu tunatofautiana.

Mimi huyu Wizkid ndio sijawahi kumuelewa hata wimbo mmoja, naonaga anaimba nyimbo za ovyo ovyo tu.

Kwa Nigeria Davido, Burna boy Na Tiwa Savage ndio napenda nyimbo zao. Hao kina Rema na matakataka mengine naonaga hovyo tu.
 
Duu kweli watu tunatofautiana.

Mimi huyu Wizkid ndio sijawahi kumuelewa hata wimbo mmoja, naonaga anaimba nyimbo za ovyo ovyo tu.

Kwa Nigeria Davido, Burna boy Na Tiwa Savage ndio napenda nyimbo zao. Hao kina Rema na matakataka mengine naonaga hovyo tu.
Kwahiyo ojuelegba ya wizkidayo huielewi?

Top your matter je?

Joro?

Cool me down?

Oje?

Dance?

Hata ile ya
In my bed?

Smile je?

Kweli tunatofautiana mitazamo.
 
Achana na Burna Boy, unajua kina Angelique Kidjo na Youso Ndour wanajulikana dunia nzima ila wengi wetu hatuwezi kabisa kuzisikiliza nyimbo zao? Kuna yule Black Kofee ulishawahi kumwelewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom