K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 2,402
- 7,649
Jamaa ninaelewa wimbo wake mmoja tu ule kilometer, ninahisi ana nguvu nyingine ya ziada inayom-push. Kiuhalisia sio mkali kisanaa kuanzia utunzi wa mashairi hadi video zake lakini ndo star wa Africa na ni miongoni mwa mastar wa dunia weusi kwa sasa.
Najiulizi huyu mwamba ana trend Africa nzima na nje ya Africa anapagawisha sana watu, mimi nimejaribu kusikiliza nyimbo zake naona hata hazina mvuto kabisa lakini amepanda kuwa ndiye Giant kuliko wote.
Nikiangalia nyimbo za Bugati - let me see ololo , who is ur guy na ile ya I wanna see with my lv naona ni nzuri sana pamoja na nyimbo za Nigerian musicians wengine ni nzuri sana kuliko za huyu Burna boy