EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,093
Mfano wajita wana nyimbo mbili zikipigwa kwenye maharusi utaona magauni marefu na suti zinaserebuka hatari
wa kwanza unaitwa NDOLELA
Mwingine sijui jina lake ila una kibwagizo "Mwana wao Chagega" maana yake mwanao ndio tumebeba hivyo
Hebu kumbuka za kule kwenu tushee hapa......
wa kwanza unaitwa NDOLELA
Mwingine sijui jina lake ila una kibwagizo "Mwana wao Chagega" maana yake mwanao ndio tumebeba hivyo
Hebu kumbuka za kule kwenu tushee hapa......