Nyimbo gani ya kilugha ikipigwa (hasa kwenye harusi) watu wanaserebuka vya kutosha?

h we umeambukizwa tabia za zamani za kongosho
 
jamani mwenye ule wimbo wa otereeee wa kichagga... aweke humu. nimejaribu kuutafuta kila mahali sijaupata. kesho ntaweka ule wa kipare hapa...

mwai wetu ohioee tumvenda tumvoneee...

akundaaa eehhh akundaaaaa...

vana vakundana shigheni vakuhanee...

mbwanyeniii....harikaaaa.....

ukipigwa huu najisikia kama niko pale kijijini suji kwetu thithi thithi ndio baba thao na mama thao.
 
Kubyala ng'wana nkema gwilolela banhu gaganda gaganda × 2

Mdumonagu nina wa ng'wana...
Alibina wisunda sunda....
******
Ng'wantwalu ng'wanawise ng'wantwala tali...
Ng'wantwalu ng'wanawise ng'wantala somile...

Kora si ==> Ginalisole lichagicho...cha!
Gubina ligachajaga... cha!
Gwimba ligachajaga...cha!
Guzuga ligachajaga...cha!
......
 
Kubyala ng'wana nkema gwilolela banhu gaganda gaganda × 2

Mdumonagu nina wa ng'wana...
Alibina wisunda sunda....
******
Ng'wantwalu ng'wanawise ng'wantwala tali...
Ng'wantwalu ng'wanawise ng'wantala somile...

Kora si ==> Ginalisole lichagicho...cha!
Gubina ligachajaga... cha!
Gwimba ligachajaga...cha!
Guzuga ligachajaga...cha!
......
mkuu hii ni lugha gani??ikibidi weka hii nyimbo hapa tufaidi
 
Kubyala ng'wana nkema gwilolela banhu gaganda gaganda × 2

Mdumonagu nina wa ng'wana...
Alibina wisunda sunda....
******
Ng'wantwalu ng'wanawise ng'wantwala tali...
Ng'wantwalu ng'wanawise ng'wantala somile...

Kora si ==> Ginalisole lichagicho...cha!
Gubina ligachajaga... cha!
Gwimba ligachajaga...cha!
Guzuga ligachajaga...cha!
......
mkuu hii ni lugha gani??ikibidi weka hii nyimbo hapa tufaidi
Hiki ni Kisukuma mkuu. Tatizo sijui jinsi ya kuweka audio hapa lakini nyimbo hizi ninazo. Nikiweza nitaziweka. Wabeja (Asante)
 
Mfano wajita wana nyimbo mbili zikipigwa kwenye maharusi utaona magauni marefu na suti zinaserebuka hatari
wa kwanza unaitwa NDOLELA
Mwingine sijui jina lake ila una kibwagizo "Mwana wao Chagega" maana yake mwanao ndio tumebeba hivyo

Hebu kumbuka za kule kwenu tushee hapa......
Ni huo huo wimbo ulioleta msamiati wa "kuselebuka" unaitwa Tuselebuke wa kingoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom