Mh Vicent Kiboko Nyerere, alipokuwa arumeru alisema hv, ukikuta basi limeharibika alafu kuna abiria yuko ndani ya basi hilo ujue anamzigo mzito sana kwenye iyo basi, ambayo hawezi kuicha, sasaccm ni basi iliyoharibika sasa watu ambao hawakuwa na mzigo kwenye hiyo basi walibanda basi nyingine ya kisasa CHADEMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.