Saa ingine kama huna la maana kuchangia kwenye ukumbi huu wa great thinkers heri ukae kimya!
Kuuliza si ujinga
Kama unauliza ujinga itakuwaje si ujinga?
Kila siku najiuliza kama Nyerere angekuwa "madarakani" mpaka sasa hivi angetolewa kama Gaddafi, Mubarak, Shah, or Zine el Abidine Ben Ali???
Naomba munisaidie wana JF
Nyerere aliacha madaraka mara mbili bila kulazimishwa na mtu mwingine; uliza leo kama kuna kiongozi anayeweza kuachia madaraka kirahisi hivi hivi.
Mandela hakuacha madaraka kwa kupenda, ulikuwa ni mkataba ili atoke jela, kuwa kwanza kuwe na national reconcilliation na aongoze one term.
jibu lako, Nyerere angenyongwa kama SHAH
Kinyungu umesema umemaliza yote. Ni sawa na kutaka kulinganisha Yesu na Muhamad, hawatafanana hata ukirudi nyuma au kusogeza mbele miaka elfu kumi.Shah wa wapi aliyenyongwa?l
Mtakufa mkimchukia Nyerere na hamtafanikiwa katika matamanio yenu! lol
Nyerere aliacha madaraka mara mbili bila kulazimishwa na mtu mwingine; uliza leo kama kuna kiongozi anayeweza kuachia madaraka kirahisi hivi hivi.
Nyerere aliacha madaraka mara mbili bila kulazimishwa na mtu mwingine; uliza leo kama kuna kiongozi anayeweza kuachia madaraka kirahisi hivi hivi.
Kila kitu kinataka utaalam kukijua sio kila mtu ana uwezo wa kufahamu haraka kwanini Mwl nyerere aliamua kung'atuka. Kwa wajuzi wa mambo wanaamin kua Nyerere kuadopt siasa ya ujamaa kulimfanya ajjikute ktk presure kubwa na nchi za capitalism ikiwemo US.
Itakumbukwa kua hata jaribio la kumpindua linalo julikana kwa jina la coup lilifanyika. Ushahidi ni kua jaribio hilo lilifanyika ktk nchi nyingine nyingi na sio Tanzania tu, kwa maana nyingine ilikua ni kama political design ya wakati ule kwahiyo kama angekataa kuondoka angeondolewa tu kama walivyoondolewa wengine.