Hawa jamaa lazima atakuwa Wasukuma au Wanyamwezi maaana enzi hizo walikuwa wanapenda sana kutembea na radio na baiskeli..
Kongosho umenikumbusha mbali sana......
nakumbuka wakati huo ili dada atoke lazima aondoke na mtoto......basi ndo unachukuliwa hapo unasindikiza.....
wakati dada anaimbishwa anajidai yuko busy na nywele zako....saa hiyo ni kipilipili.......
basi zitavutwa weeeee.....ukirudi nyumbani una upara katikati ya kichwa......na ili nisiseme inabidi hongo ya double cola itembee.....
tuwekee picha yako ya enzi hizo.
- vijana wa zamani hao
hehehe mjomba PAW naona kala sun glass halaf kafunga tambara la deki shingoni. Kulaleki!
apolojaiz in englishkafanana na wewe.
apolojaiz in english
Inasemekana katika hizi picha kuna moja ni Uporoto, thibitisha au kanushainglish not richabo.
Inasemekana katika hizi picha kuna moja ni Uporoto, thibitisha au kanusha
hihihihihihihi aiseee nimecheka ile mbaya.....hili shati na mkoba masharobaro ndio wanaanza kuzivaa siku hizi...
Hapo juu ni Yo Yo akiwa kwenye pozi la picha.
hihihihihihihi aiseee nimecheka ile mbaya.....hili shati na mkoba masharobaro ndio wanaanza kuzivaa siku hizi...
hahahahahahahaha ehehehehe hiyo makitu ukiivaa bana haikuwa na adabu ukiwa mbele za watu unashangaa imeshapanda iko mabegani ahahahahahaha......ha ha ha....hapo lazima Yo Yo kapiga kile kitu cha VIP kwa ndani
yo yo ulikuwa unatumia mmea enzi hizo?hihihihihihihi aiseee nimecheka ile mbaya.....hili shati na mkoba masharobaro ndio wanaanza kuzivaa siku hizi...
hihihihihihihi aiseee nimecheka ile mbaya.....hili shati na mkoba masharobaro ndio wanaanza kuzivaa siku hizi...