Hiyo ndo knickerbocker ya enzi hizo! "kaboka" silo "panjabi" silo wala "pajama" silo!
Hahahah....walau la Yo Yo linakubalika kimtindo :]
Duh hizo nguo zilikuwa zinavaliwa siku maalum kuna kila dalili waliziibua sandukuni kwaajili ya picha baada ya zoezi la picha kwisha viwalo vikarejeshwa sandukuni,hapo lazima zitakuwa zinanukia zile gololi nyeupe za kuzuia mende ahaaa aaaa.
umelenga...hahahahahHawa jamaa lazima atakuwa Wasukuma au Wanyamwezi maaana enzi hizo walikuwa wanapenda sana kutembea na radio na baiskeli..
ha ha ha....hapo lazima Yo Yo kapiga kile kitu cha VIP kwa ndani
halafu Gee NN kavaa nini? hiyo 'kaptula' mbona inanitatiza...lol
YoYo si haba...heheheee
Jamani huyo kishindindo ni bonge la handsome kumbe.
Usijifanye ulikuwa hujui
Duu hawa ndo walikuwa ma_DJ maarufu mujini hawa....
- vijana wa zamani hao