Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
hehehehehahahahah nyie watu sijawahi kucheka kama leo ahahaha hao washikaji ahahahaha.......
- vijana wa zamani hao
hehehehehahahahah nyie watu sijawahi kucheka kama leo ahahaha hao washikaji ahahahaha.......
- vijana wa zamani hao
Acha arifu......hizi picha nimecheka sana hapa.....hamna groupes bana hapa nilipo....Ebana umeona groupies walivyokumwagia misifa?
Hapo ndio nilikuwa naenda seminarini....no msubayo yo ulikuwa unatumia mmea enzi hizo?
ahahahahaha mpwa hizo sasa hivi lazima zinitegue kiunoNjoo nikupe laizoni mpwa ninazo za urithi
ahahaaaa huo mkoba nilidhani ndo umeifadhi mimea jumlisha na ulivoinua mkono juu nomaAcha arifu......hizi picha nimecheka sana hapa.....hamna groupes bana hapa nilipo....Hapo ndio nilikuwa naenda seminarini....no msuba
na iyo radio sijui walikuwa wameweka wimbo gani eheheeeeeeeeeee nn bwana sijui nepi ya enzi hzoloh guys! mecheka sana! hasa huo mkaptula wa NGABU..maweee...utadhani ako na ngiri maji! U made ma day INVIZIBO
paw na invisible hapa ndo mpango mzima sweet chicks
- vijana wa zamani hao
- vijana wa zamani hao
Duu hawa ndo walikuwa ma_DJ maarufu mujini hawa....
Ha ha...ma-Bitozi wa enzi hizo~Mbona kama vile ni Marehemu Eddy Sally na Kalikali?. Au nawafananisha!.Hao walikuwa wanajiitwa borntown..Na lazima uvae miwani ya jua ukiwa borntown hata kama ni usiku..
ahahahahaha mpwa hizo sasa hivi lazima zinitegue kiuno
Mkuu Wewe si Ulikula Life Ban?
Hapo juu ni Yo Yo akiwa kwenye pozi la picha.
Chini ni Nyani Ngabu (katikati) akiwa kwenye pozi la picha.
Invisible, hii sio name calling kweli? Hahahahaha, nimecheka sana yaani!