Bila shaka Monkey NGabu alimpiga mkwara mzito mpiga picha "nimepulizia manukato ya Ayu, cobra na Yolanda, hakikisha harufu inasikika kwenye picha"
Ndala ya Umoja ndo inatamba sana hapo!...Mtu ni lazima aonyeshe saa mkononi!...huh!
hahahahahahahhaaha kanyelamumo ya NN si ya kitoto....
hahahahahahahahaah weye unalionaje...acha zako ukiacha humu wajua napatikana wapi...pitia niko nyumbani muda wote!nakutafuta.....hivi ilo kaputula la NN ndo laitwa ivo?