BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Siku moja nyani alitafuta all means za kujiua akakosa alipomkuta SIMBA amelala aliona ni poa amsumbue ALIWE afe ...........,basi alienda akamtia kidole NYUMA hadi simba akaamka ; SIMBA akauliza nani huyo ,NYANI;ni mimi...,SIMBA kuna yoyote ameona NYANI;Hapana..SIMBA; Basi fanya tena ,