Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,721
- 218,273
Taarifa Ikufikie popote ulipo kwamba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo tarehe 13/03/2023 kitafanya Mkutano Mkubwa wa hadharara kwenye Jimbo la Nyamagana.
Mkutano huo utafanyika kwenye Viwanja vya Ngongozi, Kata ya Milongo, kuanzia saa 6 kamili mchana , kwa saa za Tanzania.
Wote mnakaribishwa.
=============
Wananchi waingia uwanjani kwa Maandamano ya kupaza sauti na kutoa neno KATIBA MPYA , nadhani wimbo huu wa Katiba Mpya upitishwe kuwa wimbo maalum wa Mikutano yote ya hadhara nchi nzima .
View attachment 2549380View attachment 2549383
View attachment 2549385
Mkutano huo utafanyika kwenye Viwanja vya Ngongozi, Kata ya Milongo, kuanzia saa 6 kamili mchana , kwa saa za Tanzania.
Wote mnakaribishwa.
=============
Wananchi waingia uwanjani kwa Maandamano ya kupaza sauti na kutoa neno KATIBA MPYA , nadhani wimbo huu wa Katiba Mpya upitishwe kuwa wimbo maalum wa Mikutano yote ya hadhara nchi nzima .
View attachment 2549380View attachment 2549383
View attachment 2549385