Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,718
- 218,265
Kwa Mujibu wa ratiba iliyosambazwa na Chadema Kanda ya Nyasa , leo tarehe 26/02/2023 kuna mikutano miwili mikubwa ya hadhara itakayoburumishwa na Chadema .
Mapema Asubuhi hadi Mchana Mkutano utafanyika Jimbo la Kyela , Kwenye Viwanja vya SUGU mbele kidogo ya Kanisa la Roma , baadaye Mchana hadi machweo ni Jimbo la Mbarali .
Pichani Makamanda wakiwa safarini kuelekea Kyela
Ukitaka kujua nguvu ya Chadema Kyela muulize Ndugu Harisson Mwakyembe , kwa ufupi CHADEMA ndio iliyomstaafisha kwenye siasa , yale mambo ya 'ALILE KAKO' ilikuwa porojo tu .
Kama kawaida mimi mtumishi wenu nitawaletea kila kinachojiri kutokea Viwanja vya Joseph Mbilinyi Sugu , Kyela
Usiondoke JF .
==========
UPDATES
Msafara wa Chadema umepita Kyela na kupokelewa kwa kishindo .
Tunaomba radhi kwa hitilafu ya Umeme iliyosababisha tupotee hewani .
Hata hivyo tumerejea .
View attachment 2530710View attachment 2530706View attachment 2530708View attachment 2530709
Mapema Asubuhi hadi Mchana Mkutano utafanyika Jimbo la Kyela , Kwenye Viwanja vya SUGU mbele kidogo ya Kanisa la Roma , baadaye Mchana hadi machweo ni Jimbo la Mbarali .
Pichani Makamanda wakiwa safarini kuelekea Kyela
Ukitaka kujua nguvu ya Chadema Kyela muulize Ndugu Harisson Mwakyembe , kwa ufupi CHADEMA ndio iliyomstaafisha kwenye siasa , yale mambo ya 'ALILE KAKO' ilikuwa porojo tu .
Kama kawaida mimi mtumishi wenu nitawaletea kila kinachojiri kutokea Viwanja vya Joseph Mbilinyi Sugu , Kyela
Usiondoke JF .
==========
UPDATES
Msafara wa Chadema umepita Kyela na kupokelewa kwa kishindo .
Tunaomba radhi kwa hitilafu ya Umeme iliyosababisha tupotee hewani .
Hata hivyo tumerejea .
View attachment 2530710View attachment 2530706View attachment 2530708View attachment 2530709