Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
MKUTANO WA HADHARA
CHADEMA Arusha inapenda kutangazia wananchi wote wa Arusha na viunga vyake kuwa,tutakuwa na mkutano wa hadhara tarehe 4/7/2023 siku ya Jumanne eneo la Soko Kuu Arusha kuanzia saa nane mchana.
Viongozi mbalimbali watahutubia na kuweka wazi ufisadi wa serikali hii,pamoja na ufisadi katika jiji la Arusha
Wananchi wote mnakaribishwa!
CHADEMA Arusha inapenda kutangazia wananchi wote wa Arusha na viunga vyake kuwa,tutakuwa na mkutano wa hadhara tarehe 4/7/2023 siku ya Jumanne eneo la Soko Kuu Arusha kuanzia saa nane mchana.
Viongozi mbalimbali watahutubia na kuweka wazi ufisadi wa serikali hii,pamoja na ufisadi katika jiji la Arusha
Wananchi wote mnakaribishwa!