Mkodoleaji
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 458
- 138
Kila Muislaam ni mdini, si ndiyo? tuhuma ni ipi hapo sijaiona. Au wewe unaweza kuiainisha hapa hiyo tuhuma?
Kwani hujasoma vizuri jamaa alichopost?
Kila Muislaam ni mdini, si ndiyo? tuhuma ni ipi hapo sijaiona. Au wewe unaweza kuiainisha hapa hiyo tuhuma?
Aliingia Mkapa mamlakani akakuta serikali imefilisika kutokana na mzee Mwinyi kutowatoza kodi marafiki zake wafanyibiashara wa Kiarabu na Kihindi. Mkapa akafunga mkanda akaanza kukusanyisha kodi kama mwendawazimu vile. Kufikia wakati anaondoka mamlakani aliiacha serikali katika hali nzuri kifedha, sukari ikiwa shilingi mia sita kwa kilo na mchele shilingi mia nane. Akaingia huyu Vasco Da Gama kitu cha kwanza alichofanya ni kufumua baraza la mawaziri 60 na ushee, matumizi yasiyo na kipimo, na safari zisizo na tija. Matokeo yake serikali imefilisika. Leo bei ya mchele inakaribia shilingi elfu tatu kwa kilo, na bei ya nyama ndiyo usiseme kabisa. Hivi sasa serikali karibia inafilisika kiasi kwamba namwonea huruma rais atakayechukua 2015. Atakuta hazina tupu. Niendelee?
NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi gani, wizi mtupu.
Baada ya Dau, NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.
Tatizo lenu ni Udini unawasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.
Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.
It is very relevant. Mnamsifia Mwinyi ambaye aliacha serikali bankrupt kutokana na policies zake bankrupt. Akaja Mkapa ambaye mmemruka makusudi ili kuonyesha kuwa viongozi wa kiislamu ndio makini. Lakini namba zenu tunazo! Na huyu wa sasa ndiye hopeless kabisa. Sukari bei gani sasa? Nyama je? Wakati wa Nyerere ulisikia wafanyikazi serikalini wakilalamika kukosa mishahara kwa miezi? Inatokea sasa.
:A S embarassed:Wala usishangae huo ni Mkakati mpya baada ya hoja ya kadhi kuzimwa bungeni ulifunguliwa Mlango mwingine kuhalalisha jitihada za kuitawala nchi hii kiislamu kwani hujasikia hata katika mambo Muhimu ya kitaifa kama usahihishaji wa mitihani na Form five selection huwa wanatumwa maofisa kwa ajili ya kuhakikisha waislamu wanapendelewa kufaulu na kupangiwa shule zilnazosadikiwa kwamba ni bora zaidi ? acha hiyo NSSF ife ndo watakapojua kwamba mambo mengine ni ya kitaalamu na siyo kidini :A S embarassed:Nimesikitishwa sana na jinsi ambavyo shirika la umma kama NSSF lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo. Nakumbuka nikiwa katika pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha udini ndani ya shirika. Interview hiyo ya kutafuta maofisa mafao na wahasibu wasaidizi hali ilikuwa tete sana, Ni vijana wengi waliomba na hakika si wote wangechukuliwa ila cha kushangaza pale kwenye interview kulikuwa na vituko usipime, walipokuwa wanajibu swali hata bila kuzingatia majibu yaliyotolewa alikuwa anakoment GOOD, na comment zingine za ajabu na kuwakatisha tamaa Watu wenye majina ya Kikristo hata kabla hawajieleza. Ni kweli kipimo chaweza kuwa elimu ila nilishuhudia vijana wengi wamejieleza vizuri na wakiwa na point nyingi kwa watu wengine tuliokuwa nao katika pannel lakini mwisho wa siku watoto wa kikriso waliopata nafasi walikuwa ni wale wa viongozi wa juu serikaliji pekee na zaidi ya 80% ya waliochukumiwa wakiwa waislam. Kuwa hukua waislam si mbaya bali wawe na uwezo sasa maana mngepata nafasi ya kufanya nao kazi sasa duuuu ni shughuli maana wengi kwa kweli ni vilalza usipime. Anyway tunakoelekea mtasikia tu habari kama shirika halijaenda ICU mtanikumbusha kwa huu uzi b
Nimesikitishwa sana na jinsi ambavyo shirika la umma kama NSSF lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo. Nakumbuka nikiwa katika pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha udini ndani ya shirika. Interview hiyo ya kutafuta maofisa mafao na wahasibu wasaidizi hali ilikuwa tete sana, Ni vijana wengi waliomba na hakika si wote wangechukuliwa ila cha kushangaza pale kwenye interview kulikuwa na vituko usipime, walipokuwa wanajibu swali hata bila kuzingatia majibu yaliyotolewa alikuwa anakoment GOOD, na comment zingine za ajabu na kuwakatisha tamaa Watu wenye majina ya Kikristo hata kabla hawajieleza. Ni kweli kipimo chaweza kuwa elimu ila nilishuhudia vijana wengi wamejieleza vizuri na wakiwa na point nyingi kwa watu wengine tuliokuwa nao katika pannel lakini mwisho wa siku watoto wa kikriso waliopata nafasi walikuwa ni wale wa viongozi wa juu serikaliji pekee na zaidi ya 80% ya waliochukumiwa wakiwa waislam. Kuwa hukua waislam si mbaya bali wawe na uwezo sasa maana mngepata nafasi ya kufanya nao kazi sasa duuuu ni shughuli maana wengi kwa kweli ni vilalza usipime. Anyway tunakoelekea mtasikia tu habari kama shirika halijaenda ICU mtanikumbusha kwa huu uzi b
Tazama hapo kwenye RED. Hapo ndipo utathibitisha kuwa Waislamu ni wachovu. Hakuna akili. Kuwa nchi ya mwisho kwa umasikini maana yake ni kuwa nchi ya kwanza kwa utajiri duniani. Kwa maneno mengine ni kwamnba Marekani ndiyo nchi ya mwisho kwa umasikini, au ya kwanza kwa utajiri. Waislamu waende darasani jamani! Hizi shule za kata balaa tupu!NSSF ilikuwa inaelekea kaburini kabla ya ujio wa Dau. Watu walikuwa wakilia mafao yao hawapati mpaka wahonge na wala hawajui wana kiasi gani, wizi mtupu.
Baada ya Dau, NSSF ni taasisi inayochangia kwa hali ya juu uchumi wa Tanzania na imeboreka kila nyanja na imekuwa ya kisasa zaidi.
Tatizo lenu ni Udini unawasumbuwa, hampendi kuona maendeleo yanayoletwa na Waislaam.
Leo Kikwete amefanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake lakini utakuta wanaomponda ni hao hao. Na hiyo yote inatokana na chuki ya kuwa wao kila wanapowekwa wananuwa kila kitu. Hata Nyerere aliiuwa Tanzania ikawa nchi ya mwisho kwa umasikini duniani wakati wa utawala wake, alipokuja Mzee Ruksa kila kitu kikabadilika na kila alipopita alipendwa na watu wote kasoro ya wale wale kina mleta mada.
Kikwete si fisadi? Waliokamatwa kwenye sakata la EPA ni vidagaa. Rostum anaendelea kuwacheka Watanzania jinsi walivyo mazuzu. Tueleze basi utajiri wa kukufuru alio nao pamoja na mwanae Ridhiwani wameupata wapi? Una macho lakini huoni. Una masikio husikii. Kikwete is a thief, my friend.Kikwete sio fisadi, EPA hujasikia hukumu ya kina pateli na wenzake, na lyumba naye alitumikia jela kwa kosa gani, juzix2 tu watu wamefungwa miaka 20 kwa sababu ya epa, katika richmond kinachogomba ni mkataba mbovu uliyompelekea swahiba wako kujiuzulu kwa sababu ya ushahidi laivu wa mzee wa usafirishaji. Mwisho NSSF hakuna udini bali kuna usawa kitu ambacho ninyi hamtaki.
Wakati unafika waadilifu watajulikana na mafisadi wa kweli wataumbuka. Siku zote dini ya kweli kwa Muumba itashinda japo watachukia washirikina. UISLAM+MUISLAM=UADILIFU
privacy policy, haihitaji digree ya sheria, mkuu keshatoa 'lead' kataja shirika na post zilizokuwa zinajazwa..dammit .!!? Hivi ushajiuliza kwa nini seminary za kiislamu zinaburuza mkia kila siku kazi kumuandama ma'am ndalichako, wanapeana kazi vilaza alimuradi uwe tu muislam bila kujali una nn kwa brain yako,matokeo yake wanalishana matango pori halafu lawama.