Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
ARV inawezekan upo sahihi kutokana na company alikotoka wana mkataba gani na nssf
maana wanatofautiana I.e watu wa migodini wao hupewa mafao yao baada siku tatu ....
sio watu wa migodini tu! Hata sehem zingine, ila kama mchangiaji sio mtznzania na amemaliza mda wake wa kuishi tz lazima apewe fasta pesa yake