Nssf -msaada wa haraka tafadhali

Sep 23, 2011
15
1
Wadau naomba msaada wenu, mimi kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi niliacha sasa ni mwezi mmoja. japo nimepata kazi ya kujishikiza, nina shida sana ya kuchungua MICHANGO ya NSSF ambayo nimechangia. Naomba msaada wa namna ya kupata pesa zangu ndani ya wiki 2 ikiwezekana. Kwa msaada huu, nitatoa jumla ya consultancy fee ya Tshs 400, 000 kwa watakaonisadia. Tafadhali kama kuna mtu wa NSSF hapa anayeweza kunisaidia au kama kuna mtu anajamaa yake NSSF anayeweza kunisadia. naomba ani text(tuwasiliane) kupitia 0763 894508.


Natanguliza shukrani
 
kwanza uko wapi na kazi ya zamani ulikuwa unafanyia wapi
from there i can help
 
taratibu za kuchukua mafao yako kwa nssf ni lazima usubii miezi sita then ndo unaweza kuwithdawal.unless imethibitika kwamba ni mgonjwa na umachishwa kazi kwa ajili ya ugonjwa huwezi kufanya kazi tena.au umefikia umri wa kustaafu kwa hiari
 
nssf niijuavyo huwa michango unaipata,huna hata haja ya kutangaza rushwa!uliwahi kufuatilia?walikuambiaje?
 
We naona hukuwahi kuacha kazi, Mpaka unapata cheque yako inachukua kuanzia miezi nane na kuendelea.Hiyo miezi sita inayotajwa ndio unaenda kujaza form za madai ya hela yako,then ndio unaanza kufuatilia,mara watakuambia zimepelekwa makao makuu,mara sijui zimeenda wapi, hapo kuna miezi tena sio chini ya miwili.Hii kitu inasumbua sana!

Parachichi;2691455]nssf niijuavyo huwa michango unaipata,huna hata haja ya kutangaza rushwa!uliwahi kufuatilia?walikuambiaje?[/QUOTE]
 
We naona hukuwahi kuacha kazi, Mpaka unapata cheque yako inachukua kuanzia miezi nane na kuendelea.Hiyo miezi sita inayotajwa ndio unaenda kujaza form za madai ya hela yako,then ndio unaanza kufuatilia,mara watakuambia zimepelekwa makao makuu,mara sijui zimeenda wapi, hapo kuna miezi tena sio chini ya miwili.Hii kitu inasumbua sana!

Parachichi;2691455]nssf niijuavyo huwa michango unaipata,huna hata haja ya kutangaza rushwa!uliwahi kufuatilia?walikuambiaje?
[/QUOTE]

Jamani huu mjadala ni mkubwa. Pengine, mimi niseme tu kwamba, serikali yetu inafahamu kuna mambo ni haki yetu, lakini kwa kuwa haitoi kwa wakati, kuna wadau alzima wasaisie. kama nilivyosema, mimi nimeacha kazi na nia shida, lakini zile pesa za NSSF ni zangu, nazihitaji sasa kuliko wakati mwingine wowote, nda maana nahangaika kwa namna yoyote. hbr ya miezi sita, sijui uzeeni, shida yangu hainiruhusu kufika huko nikiwa salama, ndo maana naomba msaada kwa namna yoyote ile.
 
Jamani huu mjadala ni mkubwa. Pengine, mimi niseme tu kwamba, serikali yetu inafahamu kuna mambo ni haki yetu, lakini kwa kuwa haitoi kwa wakati, kuna wadau alzima wasaisie. kama nilivyosema, mimi nimeacha kazi na nia shida, lakini zile pesa za NSSF ni zangu, nazihitaji sasa kuliko wakati mwingine wowote, nda maana nahangaika kwa namna yoyote. hbr ya miezi sita, sijui uzeeni, shida yangu hainiruhusu kufika huko nikiwa salama, ndo maana naomba msaada kwa namna yoyote ile.[/QUOTE]

Hapo kwenye red ni sababu tosha kwao wao NSSF wakakupa mafao yako mapema.

Au unaweza kwenda chuo chochote ukaforge barua ya Admission unavuta mkwanja.
 
Hapo ni kuforge tu docs labda unaenda kusoma nje na unataka kulipa ada, au udanganye upate cheti hospitali unatakiwa ukatibiwe haraka kwa hela nyingi.Bila hivyo sahau ndugu yangu..sheria yao haiwaruhusu kukupa hiyo hela kabla ya hiyo miezi sita.
 
humu JF kuna watakao kusaidia kwa nia njema, pia kinawatakao kutapeli usipokaa sawa, la mwishi kuna matakokuru watakao taka kula pesa yako pia just be smart ,

bado namlilia Gaddafi si kwamba alikuwa hana mabaya bali nikipima mabaya na mazuri aliyowatenda naona mabaya yako kiduchu na yeye si ati alikuwa malaika....
 
Naskia harufu ya rushwa hapa.

yeah na amesema alikuwa anapeleka NSSF Ubungo? na urasimu usio na tija uliopo NSSF Ubungo sidhani kama bila rushwa unaweza kupata pesa yako pale. Ni disaster tupu pale.
 
Hapo ni kuforge tu docs labda unaenda kusoma nje na unataka kulipa ada, au udanganye upate cheti hospitali unatakiwa ukatibiwe haraka kwa hela nyingi.Bila hivyo sahau ndugu yangu..sheria yao haiwaruhusu kukupa hiyo hela kabla ya hiyo miezi sita.

ARV inawezekan upo sahihi kutokana na company alikotoka wana mkataba gani na nssf
maana wanatofautiana I.e watu wa migodini wao hupewa mafao yao baada siku tatu ....
 
Kaka hiyo laki 4 asavali ufungulie genge kwa kujikimu hiyo miezi 6 la sivyo itakuwa sawa na kilichoenda kwa mganga hakirudi ,hiyo hela utaliwa na utasubiri miezi sita,miezi 6 sio mingi subiri kaka,mwenye uwezo wa kutoa hiyo hela labda ukamuone Mkurugenzi mkuu
 

Jamani huu mjadala ni mkubwa. Pengine, mimi niseme tu kwamba, serikali yetu inafahamu kuna mambo ni haki yetu, lakini kwa kuwa haitoi kwa wakati, kuna wadau alzima wasaisie. kama nilivyosema, mimi nimeacha kazi na nia shida, lakini zile pesa za NSSF ni zangu, nazihitaji sasa kuliko wakati mwingine wowote, nda maana nahangaika kwa namna yoyote. hbr ya miezi sita, sijui uzeeni, shida yangu hainiruhusu kufika huko nikiwa salama, ndo maana naomba msaada kwa namna yoyote ile.[/QUOTE]

pesa za kukusaidia sasa ungeweka bank, au uza asset yako ili upate pesa kwa sasa!
Pesa uliyoweka nssf haikuwa lengo lake kksaidia upatapo shida ya fasta! Hata ukiwa bado kazini ukafiwa na wazazi wako wawili kwa wakati mmoja huku ukiwa huna hata mbuni mfukoni huwezi kupewa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom