NSSF inaweza kupoteza Tsh 50 bilioni

Mutambukamalogo

JF-Expert Member
Jan 25, 2011
397
85
Kwa mujibu wa report ya mkaguzi mkuu wa serikali, NSSF inaweza kupoteza zaidi ya Tshs 50 bilioni katika baadhh ya miradi inayotaka kuwekeza ambayo inaonekana ni hatarishi (Risky Investments). Miradi hiyo ni pamoja na Kiwira Coal and Power limitd. Tukumbuke pesa hizi zinatokana na makato ya wafanyakazi kwa minajili ya kuwasaidia wakati wa kustaafu

Source: The Citizen Friday,15 April 2011- Editorial and Opinion.
 
Yote yawekana lakini
kama wako na long plani sidhani kama wanaweza kupoteza mifyeza yoote hiyo
 
Haya mashirika ya pensheni NSSF, PPF n.k yapo kwa ajiri ya kusaidia wafanya kazi wanaochanga hela zao ili baadae ziwasaidie lakini kilichopo haya mashirika yanakopesha hela watu ambao hata siyo members wake, yanatoa hela kusaidia vyama vya siasa kisiri (ccm), yanatoa hela kwa serikali, yaweka vipau mbele kwenye miradi mbali mbali ambayo viongozi wake wanapata kemisheni ya 10%.
Lakini inasikitisha sana kuona mtu kulipwa haki yake akistaafu anasumbuliwa sana na bado inachukua muda, mtu akistafu kabla ya muda wake kama miaka 55 anambiwa inabidi asubiri miaka ya kustaafu 60 kupata pensheni,
halafu unakuta mtu kachangui miaka labda 25, lakini anapokuja kulipwa hela apewi hata interest wakati hizo hela zimezalisha mamilioni through investments.
Nafikkiri kuna haja kubwa sana ya kurekebisha haya mashirika yawe ya wale wanaochangia na siyo vinginevyo kama ilivyo sasa amabapo liukweli mfanyakazi ni kama ananyonywa tu
 
Ngoja siku ukienda kudai mafao yako ukakuta unanyimwa ndio useme.
 
Uko Tanzania ipi?
Hujasikia wafanyakazi wanaotaka kuandamana migodini baada ya kukosa hela yao?

Hawajaelimisha vya kutosha na wanachochewa na mapunguani wachache, wanajulikana ni kina nani. Migodini na NSSF wapi na wapi?
 
Hawajaelimisha vya kutosha na wanachochewa na mapunguani wachache, wanajulikana ni kina nani. Migodini na NSSF wapi na wapi?
Mkuu mimi nikidhani una upeo wa kuona the fallacy in the Ammendment ya sheria yenyewe na isivyo watendea haki wafanya kazi.

Hata utoe elimu namna gani, the Ammendment does not make sense!

Unategemeaje nini ksma yafuatayo ni dhahiri:
-wafanyakazi wote walipwe after retirement at 55(orabove), wakati hata life expectancy haifiki huko

-it is NOT in thr best interest ya mfanyakazi, kwa vile kuweka hela NSSF ni sawa na kuweka uchagoni kwa
haina interest na inaliwa na inflation

-ni narrow minded ness kutegemea kuwa watu wote(wafanyakazi) lengo lao ni kuishi(after55) kwa kula tu
hiyo hela na si kuinvest katika miradi midogo midogo wanayoiweza, na wanaweza kufanya hivyo wakati wana
nguvu tu na wakiwa na umri mdogo na wanapoihitaji hela hiyo.

Tukubali kuwa SSRA inajaribu kutatua mgogoro unaoikumba NSSF na mashirika mengine ya aina hiyo kwa an unexpected(?) low return on investment.

Nawekea question mark hiyo unexpected low return on investment kwa vile mwendesha mashirika hayo-Serikali-imewekeza katika miradi isiyorudisha mtaji leo wala kesho.
Sehemu nyingine uwekezaji huo ni wa kisisa zaidi kuliko matakwa ya kibiashara. Hapa tuifikirie Machinga Complex, sijui kama mradi huo haukufanyiwa feasibility study, au NSSF haina wachumi?

Miradi mingine kama Dodoma University, ni mizuri lakini you can hardly expect a return on investment inones life time.
All this investment, risk anabeba mfanyakazi, its unfair and unproffessional.

Katika hili elimu inakosekana upande wa Serikali zaidi kuliko upande wowote.
 
Mkuu mimi nikidhani una upeo wa kuona the fallacy in the Ammendment ya sheria yenyewe na isivyo watendea haki wafanya kazi.

Hata utoe elimu namna gani, the Ammendment does not make sense!

Unategemeaje nini ksma yafuatayo ni dhahiri:
-wafanyakazi wote walipwe after retirement at 55(orabove), wakati hata life expectancy haifiki huko

Kabla sijaendelea kusoma hoja zako zingine, hapo umekosea sana:

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) show


Source: Tanzania


Kwa kuwa ushalijuwa hilo, sasa badili post yako, uje kivingine.
 
Kabla sijaendelea kusoma hoja zako zingine, hapo umekosea sana:

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) show


Source: Tanzania


Kwa kuwa ushalijuwa hilo, sasa badili post yako, uje kivingine.
Bado hujajibu mantiki nzima ya ukiukwaji wa madhumuni ya mfuko wenyewe kuwa ni kwa faida ya wafanyakazi na si vinginevyo.
In fact hujajibu hoja.
My points still stand.
 
Bado hujajibu mantiki nzima ya ukiukwaji wa madhumuni ya mfuko wenyewe kuwa ni kwa faida ya wafanyakazi na si vinginevyo.
In fact hujajibu hoja.
My points still stand.

Badili kwanza takwimu yako kama nilivyokurekebisha huko juu, unaonesha una data za mwaka 2008, maana hata 2010 life expectancy ilikuwa ni miaka 57.4.

Hiyo ndio ilikuwa hoja yako ya mwanzo. Rekebisha hiyo au kubali kuwa ulileta hoja isiyo ya kweli ili tuendelee. Kwanini niendelee kukujibu hoja secondary wakati primary umezuwa? FIKIRI.
 
Badili kwanza takwimu yako kama nilivyokurekebisha huko juu, unaonesha una data za mwaka 2008, maana hata 2010 life expectancy ilikuwa ni miaka 57.4.

Hiyo ndio ilikuwa hoja yako ya mwanzo. Rekebisha hiyo au kubali kuwa ulileta hoja isiyo ya kweli ili tuendelee. Kwanini niendelee kukujibu hoja secondary wakati primary umezuwa? FIKIRI.
As a thinking man you dissapoint me , hivi wewe kwa akili yako unafikiri hicho ndio kigezo kikubwa kilichosukuma kubadili sheria ili mfanyakazi "afaidike" after 55years of age?
Come on what shallow targets and arguments!
Inaeleka wala hujui unachokiongelea in its totality na ni kama mfa maji anayedandia unyasi!

Hoja yangu bado inasimama kuwa mfanyakazi anaihitaji hiyo fedha siyo akistaafu, bali wakati anihitaji.
Dont be static.
 
As a thinking man you dissapoint me , hivi wewe kwa akili yako unafikiri hicho ndio kigezo kikubwa kilichosukuma kubadili sheria ili mfanyakazi "afaidike" after 55years of age?
Come on what shallow targets.
Inaeleka wala hujui unachokiongelea in its totality na ni kama mfa maji anayedandia unyasi!

Hoja yangu bado inasimama kuwa mfanyakazi anaihitaji hiyo fedha siyo akistaafu, bali wakati anihitaji.
Dont be static.

Kwanza kubali ulileta habari siyo ya kweli ili tuendelee na hoja zako zingine. Bila hivyo ni kama unampigia mbuzi gita.
 
Kwanza kubali ulileta habari siyo ya kweli ili tuendelee na hoja zako zingine. Bila hivyo ni kama unampigia mbuzi gita.
I now seriously doubt your level of knowledge, and thus understanding of facts and logic.
Na kama kuna mbuzi kama wewe asiyeelewa elewa basi hafai kuwa hapo alipo.
 
I now seriously doubt your level of knowledge, and thus understanding of facts and logic.
Na kama kuna mbuzi kama wewe asiyeelewa elewa basi hafai kuwa hapo alipo.

First and foremost you have to apologize to the JF users for trying to feed us wrong national data. If you can not apologize at least acknowledge you were wrong or whom ever fed you that figure was as wrong as you are.

By the way, Did you learn that from your teacher?
 
First and foremost you have to apologize to the JF users for trying to feed us wrong national data. If you can not apologize at least acknowledge you were wrong or whom ever fed you that figure was as wrong as you are.

By the way, Did you learn that from your teacher?
You sound like a suit claded nicompoop polishing office chairs for no good reason.
The less people of your kind in high places the better for CCM
 
First and foremost you have to apologize to the JF users for trying to feed us wrong national data. If you can not apologize at least acknowledge you were wrong or whom ever fed you that figure was as wrong as you are.

By the way, Did you learn that from your teacher?
Bwana mukubwa nondo ulizopigwa hujazitete ha moja. Na je kama ni kweli life expectancy ni zaidi ya miaka 57.
Mfanya kazi yuko better off?
Uhalali wa sheria ni kwanifaisha wananchi na si vinginevyo.
Ukubali usikubali hapa serikali ilichemsha kuchezea kipato cha wafanyakazi.
Mbaya zaidi wewe unasema wafanyakazi migodini wanachochewa!
Wafanyakazi si wajinga kiasi mnachofikiri.

Kweli aliyeshiba hamkui mwenye njaa!
 
Mkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.

Bwana mukubwa nondo ulizopigwa hujazitete ha moja. Na je kama ni kweli life expectancy ni zaidi ya miaka 57.
Mfanya kazi yuko better off?
Uhalali wa sheria ni kwanifaisha wananchi na si vinginevyo.
Ukubali usikubali hapa serikali ilichemsha kuchezea kipato cha wafanyakazi.
Mbaya zaidi wewe unasema wafanyakazi migodini wanachochewa!
Wafanyakazi si wajinga kiasi mnachofikiri.

Kweli aliyeshiba hamkui mwenye njaa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.
Huyu bwana ana abasic problem ya understanding issues na logical presentation.
Pamoja na unazi wa aidha chama au serikali kutetea makosa kidogo inampunguzia hadhi kama mtu mwenye uwezo wa kufikiri.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu linapokuja suala la takwimu, magazeti mengi ya Tz sio credible source. Bila shaka serikali ina kitengo cha takwimu ambacho ningetegemea kiwe ndo kigezo.Ukumbuke miaka ya katikati mwa 2000 tuliambiwa kutokana na UKIMWI life expectancy was drastically reduced to 42yrs! Sijui hapo napo ikiwekwa gazetini kukanukuu tutaamini lipi? Kimsingi hoja kubwa sio life expectancy hoja kuu ni logic ya kusema wafanyakazi wote wasichukue mafao yao hadi wafikie umri huo, bila kufahamu kuwa tunawafanyakazi wa mkataba miaka miwili au mitatu na mkataba ukiishi unaweza kukaa miaka sita kabla hujapata kazi kwingine. Wewe utakuwa unakula wapi? Basi sheria hiyo iweke provision ya mikopo (make kina Manji wamekopa ambao sio wachangiaji wala wamiliki wa mifuko hiyo...why wafanyakazi wasikopeshwe). Na mifuko imhakikishie mchangiaji kula, kulala kusomesha watoto na huduma nyingine mujimu kipindi chote ambacho hana kazi. Suala jingine kuhusu wafanyakazi mgodini....nadhani hukufahamu! Wanalipa! Kimsingi sheria inakutaka hata msaidizi wa kazi nyumbani (house boy/girl) walipiwe kodi na hata mfanyakazi wa shamba alipiwe kodi!
Kabla sijaendelea kusoma hoja zako zingine, hapo umekosea sana:

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) show


Source: Tanzania


Kwa kuwa ushalijuwa hilo, sasa badili post yako, uje kivingine.
 
Back
Top Bottom