Mutambukamalogo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 397
- 85
Kwa mujibu wa report ya mkaguzi mkuu wa serikali, NSSF inaweza kupoteza zaidi ya Tshs 50 bilioni katika baadhh ya miradi inayotaka kuwekeza ambayo inaonekana ni hatarishi (Risky Investments). Miradi hiyo ni pamoja na Kiwira Coal and Power limitd. Tukumbuke pesa hizi zinatokana na makato ya wafanyakazi kwa minajili ya kuwasaidia wakati wa kustaafu
Source: The Citizen Friday,15 April 2011- Editorial and Opinion.
Source: The Citizen Friday,15 April 2011- Editorial and Opinion.