Nothing But The Truth? Truth Hurts!

Tatizo kubwa linalowakabili watu wengi ni kwenda ndivyo sivyo ndio maana wakati mwingine inakuwa vigumu kusema ukweli wote.Lakini kama ingekuwa kila mtu yuko straight katika maisha bila kona za hapa na pale basi ukweli ungewezekana kwa kila kitu.Na ukweli unabaki palepale kuwa only truth will set you free.
 
...Msilete maskhara nyie, how far can you handle the truth?
 
ivi na wale waliotembea na wazazi wao huwa wanawaambia wapenzi wao au huwa wanakufa nazo
 
Kwa hapo red, unahatarisha mahusiano yetu....! Maana nikija kugundua mwenyewe basi ujue hakutakuwepo mjadala wowote...! Katika ubongo wa mtu, kuna files kama kwenye RAM ya computer hii unayoitumia...! Sasa hizo 10% zitakuwa kwenye file lipi, kama sio file la "SECRETS"? Iwapo hili file lipo kwenye ubongo wako basi litaendelea kuhitaji updates na utakuwa na nafasi ya kuendelea kufanya/kukaribisha secrets zingine nyingi kwa kuwa una pahala pa kuhifadhi....! Now, the only thing that will set you free in your relation is to delete this file completely from your memory, and the only way to delete it ni kuanika kila kitu kwa mwenzio, unless you are rushing and running.....! Tafadhali sana, elewa kuwa japo ni kazi ngumu kutimiza, lakini "Ukweli siku zote unakuweka huru"....! Just think on yourself, binafsi ni rahisi kumsamehe mkweli au muongo? Kwangu mimi huenda nikamsamehe mkweli toka moyoni bile kujali kanitendea kosa la aina gani, lakini nikishagundua kuwa alichoniambia sivyo, basi asitegemee msamaha kabisa, nitamsamehe lakini tutaachana mara moja...!

hey all i was saying is ..................
some people have a little secrets .......
that they need to keep it to themselves ....
na kila mtu si kama wewe.....
na kama wewe huna siri safi...Good on you.
 
Nothing But The Truth-----doesn't exist! Some truths are worth 6feet under....
Truth Hurts ---- hurts and we don't have to hurt our loved one...
Halafu MJ1 kunyamaza pia ni aina ya uongo!.....
Mkuu, nothing bu t the truth exists... and it is well different from secrets

Binafsi i can tell you the truth and nothing but the truth, however, i would also keep things to myself... in such i way i would ahve told the truth and nothing but the truth and kept the other part of my story to my self which is keeping secret
 
Some secrets are bound to remain secrets.....................................................and its not a lie its just.........not telling the truth.
correction buddy.... hapo kwenye red pasomeke hivi ....classified info which means its not a lie
 
truth helps kuprevent infidelity, cz ukielezea ukweli wa kila kitu,u cn prevent everythin kuja on ur side..bt de problem is madada hupenda kudanganywa saaaana,dats y guys yabidi kudanganya ili kutunza relationships
 
First thing you should know is "What can you get after saying the truth" You know wat, keep your mouth shut simple!!!
 
correction buddy.... hapo kwenye red pasomeke hivi ....classified info which means its not a lie

Kwangu ukweli kutochuja ya kusema. Kama unachuja baadhi basi haiwezi kuwa 'nothing but the truth'.....censoring takes out the truth....
 
Jamani......I stand to be corrected lakini kweli the pain that one can feel pale atakapoambiwa ukweli ni tofauti na the pain you will feel pale utakapogundua umedanganywa, because when you are told a painful truth utaumia lakini at the end of the day utasema huyu mtu alinithamini ndio maana akaniambia ukweli....as ugly as it might be! Lakini when you have just realized that you have been lied to - you become double furious coz the first thought you would get ni kwamba huyu mtu ameniona mimi mjinga ndio maana akaamua kunidanganya.

It shouldnt go that way, tell the person the truth and leave it for her/him to decide how ugly it is, lie to her...she/he will never forget! and that would mean hell to you, and if you think kwamba you will manage to hide it forever....forget it! A lie always finds a way to unfold itself....
 
Kwangu ukweli kutochuja ya kusema. Kama unachuja baadhi basi haiwezi kuwa 'nothing but the truth'.....censoring takes out the truth....
nothing but the truth doest not mean i tell everything. it means whatever i say here is nothing but the truth na maka sio truth basi sitasema:whoo:

think twice
 
Jamani......I stand to be corrected lakini kweli the pain that one can feel pale atakapoambiwa ukweli ni tofauti na the pain you will feel pale utakapogundua umedanganywa, because when you are told a painful truth utaumia lakini at the end of the day utasema huyu mtu alinithamini ndio maana akaniambia ukweli....as ugly as it might be! Lakini when you have just realized that you have been lied to - you become double furious coz the first thought you would get ni kwamba huyu mtu ameniona mimi mjinga ndio maana akaamua kunidanganya.

It shouldnt go that way, tell the person the truth and leave it for her/him to decide how ugly it is, lie to her...she/he will never forget! and that would mean hell to you, and if you think kwamba you will manage to hide it forever....forget it! A lie always finds a way to unfold itself....
buddy... you have nailed it!!

either way, truth hurts!!!
 
Mpwa, Truth will set you Free au hebu some hako ka signature kangu hapo chini; my point is, sidhani kama kweli ni akili/hekima kuishi na mtu na kusema kuwa eti unamficha baadhi ya mambo, ngoja nikupe ushauri niliousikia siku moja;

Nilikua mwaka wa nne pale UDSM na tulikua discussion, hapa tulikua watano siku hiyo, Mimi (Male) na Female wanne ila Mmoja alikua ni Mama Mtu mzima flani hivi, Binti mmoja akauliza swali kua jamani hivi kwenye ndoa ni lazima nimwambie mpenzi wangu kila kitu? kisha akamtaja Mama mwingine as a point of reference kwamba yeye nilipomuuliza swali hilo alisema Si Lazima tena ni mwiko kwani eti sie wanaume hatuna dogo, huyu mama mwingine tuliekua nae muda ule pale akamwambia hivi, binti ni vigumu na ujinga kuishi na mtu mnalala kitanda kimoja kisha useme eti hutaki kumwambia mambo yako, maisha ya namna hiyo hayatakupeleka mbali, lakini pia angalieni ni wapi na nani anawashauri.
My Take
Ni lazima kama unaamua kua kwenye ndoa, mweleze mwenzio ukweli kumbuka kadiri unavyotunza uongo ndivyo unavyokosa amani ya moyo na kutokujiamini, jibu ili lipone dawa yake litumbuliwe kisha likamuliwe, litauma but then litapona and life will go on.

Be blessed
 
Mpwa, Truth will set you Free au hebu some hako ka signature kangu hapo chini; my point is, sidhani kama kweli ni akili/hekima kuishi na mtu na kusema kuwa eti unamficha baadhi ya mambo, ngoja nikupe ushauri niliousikia siku moja;

Nilikua mwaka wa nne pale UDSM na tulikua discussion, hapa tulikua watano siku hiyo, Mimi (Male) na Female wanne ila Mmoja alikua ni Mama Mtu mzima flani hivi, Binti mmoja akauliza swali kua jamani hivi kwenye ndoa ni lazima nimwambie mpenzi wangu kila kitu? kisha akamtaja Mama mwingine as a point of reference kwamba yeye nilipomuuliza swali hilo alisema Si Lazima tena ni mwiko kwani eti sie wanaume hatuna dogo, huyu mama mwingine tuliekua nae muda ule pale akamwambia hivi, binti ni vigumu na ujinga kuishi na mtu mnalala kitanda kimoja kisha useme eti hutaki kumwambia mambo yako, maisha ya namna hiyo hayatakupeleka mbali, lakini pia angalieni ni wapi na nani anawashauri.
My Take
Ni lazima kama unaamua kua kwenye ndoa, mweleze mwenzio ukweli kumbuka kadiri unavyotunza uongo ndivyo unavyokosa amani ya moyo na kutokujiamini, jibu ili lipone dawa yake litumbuliwe kisha likamuliwe, litauma but then litapona and life will go on.

Be blessed


hapo kwenye red mh labda nahitaji elimu zaidi
 
Nothing But The Truth-----doesn't exist! Some truths are worth 6feet under....
Truth Hurts ---- hurts and we don't have to hurt our loved one...
Halafu MJ1 kunyamaza pia ni aina ya uongo!.....

...huh!? hii umenikumbusha wale watoto wanaoletwa msibani baada ya baba mwenye nyumba kufariki!
Halafu unamsikia kizuka analalama, "hakunambia ana mtoto wa nje,...angenambia ukweli ningempokea! huyu mimi simtambui!!!!"
 
Back
Top Bottom