ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
naomba msaada je nawezaje kutambua simu aina ya nokia original na feki.
naomba msaada je nawezaje kutambua simu aina ya nokia original na feki.
model yake haionyeshi ila life time inaonyesha je ni originalata chines mobile zinakubali *#0000#,the guarantee numbey bonyeza *#92702689# kama ni original itadisplay model yake,and life time yake katika masaa
naomba msaada je nawezaje kutambua simu aina ya nokia original na feki.
bonyeza *#7780# italeta option ya restore factory. yah its orgnaomba msaada je nawezaje kutambua simu aina ya nokia original na feki.
-bonyeza alama ya nyota,reli, sifuri,sita,reli halafi ubonyeze kitufe cha kupaga simu
-angalia namba ya IMEI ya simu itakayo tokea... angatarakimu ya sita na ya saba... iliwa ni 00 au10 au 01 au 11 simu yako ni original.tarakimu haizo zikianzia na 3 simu ni feki na ni mbaya kwa afya yako sababu ya mionzi...
ata chines mobile zinakubali *#0000#,the guarantee numbey bonyeza *#92702689# kama ni original itadisplay model yake,and life time yake katika masaa
mr, mbona cm yangu imekubali njia zote ila hii ya *#9270 . . . . imegoma, kwa hiyo inawezekana ni mchina?