Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
si useme tatizo lako sio dada yake bali ni udomo zege wako....:shetani:
Wewe si umeambiwa ni kwa wanamume tu! Mbona wanawake wa siku hizi mnapenda kurukia mambo?
Na wewe muanzisha mada, hili sio jambo la kutuita wanaume. Ni jambo la kujadili na wavulana wenzako na vidada visivyo na kazi maalum. Mi nilijua kuna ishu ya kiume kweli, kumbe ni balehe zinasumbua watoto