MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,861
- 6,222
Heshima kwenu brothers and poleni na majukumu,
Nahitaji kushare mawazo na wenzangu naomba wapondaji wakae kimya is only ushauri needed,
Mi ni kijana wa 25 yrs graduate and working somewhere in town, kuna msichana around 21yrs I have interest on her but nakosa kwa kuanzia kutokana na scenario behind us, huyo binti yupo chuo first year now hapa dar, nakosa pa kuanzia kwa sababu my brother alikuwa anadate na dada yake na alimkuja kumtosa vibaya na kuoa mwingine na hii alileta kama chuki kwa familia yetu lakini ukweli ye ndo sababu as alikuwa anacheat wakati bro yupo nje kimasomo na anahisi si ndo tulisababisha asiolewe, sasa huyu binti hajui kama mimi ni mdogo wa X aliyemfanya dada yake atake kujiua those days,
Na mimi naamini sina nia mbaya na binti hiyo if God wishes tujenge nae familia, nashindwa nimset vp atleast for a date as sitaki dada yake ajue hadi mambo yatapochanganya, I think ninavyo vigezo vya college ladies vya kijinga as a car, a job, etc but nakosa point as her sister hanipendi, huyo binti nimekutana nae juzi nikafanikiwa kupata namba sasa next step ndo issue as dada yake akijua ni balaa
Wadau tupeane tips nitoke vipi
Nahitaji kushare mawazo na wenzangu naomba wapondaji wakae kimya is only ushauri needed,
Mi ni kijana wa 25 yrs graduate and working somewhere in town, kuna msichana around 21yrs I have interest on her but nakosa kwa kuanzia kutokana na scenario behind us, huyo binti yupo chuo first year now hapa dar, nakosa pa kuanzia kwa sababu my brother alikuwa anadate na dada yake na alimkuja kumtosa vibaya na kuoa mwingine na hii alileta kama chuki kwa familia yetu lakini ukweli ye ndo sababu as alikuwa anacheat wakati bro yupo nje kimasomo na anahisi si ndo tulisababisha asiolewe, sasa huyu binti hajui kama mimi ni mdogo wa X aliyemfanya dada yake atake kujiua those days,
Na mimi naamini sina nia mbaya na binti hiyo if God wishes tujenge nae familia, nashindwa nimset vp atleast for a date as sitaki dada yake ajue hadi mambo yatapochanganya, I think ninavyo vigezo vya college ladies vya kijinga as a car, a job, etc but nakosa point as her sister hanipendi, huyo binti nimekutana nae juzi nikafanikiwa kupata namba sasa next step ndo issue as dada yake akijua ni balaa
Wadau tupeane tips nitoke vipi