sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Mimi kuna mfanyakazi wa nmb ametoa taarifa zangu za miamala ya fedha kwenye akaunt yangu kwa watu.
Nimemshitaki kwa meneja ila bado sijaridhika maana sina uhakika atachukuliwa hatua gani. Kama nmb imefikia mahali pa kuajiri watu wasio na uwezo hadi wanatoa siri za wateja wao hadharani kwa watu wengine, naiweka benki kwenye mabano.
Nimemshitaki kwa meneja ila bado sijaridhika maana sina uhakika atachukuliwa hatua gani. Kama nmb imefikia mahali pa kuajiri watu wasio na uwezo hadi wanatoa siri za wateja wao hadharani kwa watu wengine, naiweka benki kwenye mabano.