geometry
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 466
- 356
Kama unatak kujiunga ni txt kweny hyo nambaMkuu sijakuelewa ulivyotuma ujumbe kuwa Group la Kilimo Whatsapp nambari uliyoitaja hapo, Je! ni kwamba kama mtu anahitaji kuwa kwenye grp hilo akutumie ujumbe kwa nambari hiyo au ulimaanisha kitu kingine, ufafanuzi tafadhali