khaliciouz
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 579
- 210
Habari wakuu....... Itifaki imezingatiwa!
Rejea kichwa hapo juu!
Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo kuanzia mil 100,000,000/=?
Naomba niweke mrejesho wakuu kwamba nimepata biashara ya kutengeneza zaidi ya million 100 kwa mwaka.
Na biashara yenyewe ni ya blogging kupitia adsense.. kwa watu wanaingia kwenye blog yako wakiclick unapata pesa.. jinsi watu wengi wanavyoingia kila siku kwenye blog ndio unajiongezea kipato.
Mwanzo ilikuwa ngumu kupata hao viewrs lakini nikaamua kuweka pesa sasa na advertise blog yangu kupitia facebook niliweka dola 250 matokeo yake nimepata dola 1000 + na bado wanaendelea kuja.
Rejea kichwa hapo juu!
Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo kuanzia mil 100,000,000/=?
Naomba niweke mrejesho wakuu kwamba nimepata biashara ya kutengeneza zaidi ya million 100 kwa mwaka.
Na biashara yenyewe ni ya blogging kupitia adsense.. kwa watu wanaingia kwenye blog yako wakiclick unapata pesa.. jinsi watu wengi wanavyoingia kila siku kwenye blog ndio unajiongezea kipato.
Mwanzo ilikuwa ngumu kupata hao viewrs lakini nikaamua kuweka pesa sasa na advertise blog yangu kupitia facebook niliweka dola 250 matokeo yake nimepata dola 1000 + na bado wanaendelea kuja.