kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 12,018
- 13,602
ambapo angempa tu tena njombe madaba haizidi bukutano sidhani kama panakilomita inazida 100 paleWengi hawajaliona hili
ambapo angempa tu tena njombe madaba haizidi bukutano sidhani kama panakilomita inazida 100 paleWengi hawajaliona hili
Dah...haswaa....ndiyo muunguo usiokamilika....gesi ya ukaa inavunjwa oksijeni moja na kubaki moja....na ndiyo hiyo unayoita COMkaa, unavyowaka kwa kukosa oxygen, unazalisha carbon monoxide (CO) ambayo huvutwa na binadamu na kisha kuungana na hemoglobin (Hb) ktk mapafu. Kisha CO husambazwa sehemu mbali mbali za mwili (kwenye cell) na hatimaye kusababisha matatizo ya upumuaji (oxygen tension vs CO tension).
Kwa kifupi sana, hayo ndiyo maelezo.
R.I.P to them.
Kipi nilichokosea ktk maelezo yangu?Haemoglobin huungana na oxygen kwa asili, ikitokea carbon monoxide imezidi kwenye damu kunakua na competition kwenye binding site ya haemoglobin. Haemoglobin ikiungana na carbon monoxide inakua sumu moja mbaya sana
Kumbe kuna kabila la "Mndendeule" ndio nasikia leo, ni wenyeji wa wapi hawa?
Hivi hakuna wasambazaji wa room heater zinazotumia umeme, au tatizo itakuwa kwenye bili.....mimi nina heater ya kupasha chumba joto niliyotoka nayo majuu lakini baridi la Dar halijanishawishi kutumia heater zaidi ya kulala na blanket......serikali toeni ruzuku kwenye heater ziuzwe maeneo yenye baridi kali na pia wapunguziwe bili za umeme ili waweze kumudu.
Yaani umepata jiko, unaongeza jiko! Bado haitoshi unalala, dah!Dha, ndo huko baridi lipo 6
Ipo mkuu, hii winter hutokea kila mahali.......na sisi kwa tulivyozoea huu tunauchukulia kama wakati wa baridiDar kuna baridi?
Wangoni hao, ni sawa na mpogoro na mndamba
Itakuawa O1 labda alimaaisha Carbon monoxideSasa na wewe mkuu hii sayansi ya darasa la ngapi? Hewa ya "carbon oxide" ni hewa gani hii?
Usiwalaumu, usikute hawajasoma hawa marehemuPole kwa ndugu wa marehemu.
Madhara ya kusahau somo la sayansi miongoni mwa jamii(wengi wamesahau aina ya hewa na jinsi hewa hizo zinavyopatikana na mifano yake).
Binadamu tunavuta hewa safi inaitwa " oxygen" na tunatoa hewa chafu aina ya "carbon oxide"
Mkaa unatoa hewa ambayo binadamu haihitaji("carbon oxide").Kitendo cha kujifungia na jiko ndani(mtu unakuwa umekubali kuondoa hewa safi inayohitaji kutumika na binadamu(" oxygen") na kutumia hewa isiyohitajika mwilini, lazima mwili uchoke na kuishiwa nguvu, hatimaye kulala usingi wa milele.
Halafu kuna watu wanajinyonga eti.mi sijaelewa hilo somo !
yaani unakufa ki'ulaini tu hivo bila hata kufurukuta yaani roho itoke kirahisi tu?