Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

I manage to quit alcohol japo sikuwahi kuwa an alcoholic....it is not an easy endeavour hasa bila an intervention from high above.
 
Hilo ni pepo ndugu yangu, maana ukisha lewa unagombana, kubali au kataa hilo ni pepo na usipo angalia lisije likakufikisha pabaya! Tafuta kanisa la walokole wa kweli na fanya urafiki nao wawe wanakuja nyumbani kwako kwa maombi! Mola akuongoze kwenye hiyo safari na akupe haja ya moyo wako ndugu yangu!
 
piga hesabu hasara:
mwaka
bia 3@1500 4500×30 =135,000×12=1,620,000
nyama 15,000@month =15,000×12 =180,000
other expnses kutoa ofa
usafiri kuhonga nk 50,000@mnth×12=600,000
total 2,400,000

chukua 1,620,000÷1500= 1080

kwa mwaka unakunywa chupa 1,080 ni sawa na cret 54


huonei huruma ini.
Hii ni pesa kidogo sana kuliko mtu anaye honga, kumbuka bar siyo kunywa tu, mtu unaweza kumpa ofa ya bia mbili kesho ukamfuata ofisini akakusaidia kuliko aliyempa rushwa ya laki 2, pia wasio kunywa wanakuwa wanzinzi balaa hivyo wanapoteza pesa nyingi sana kwenye nyumba ndogo.
 
Kuacha pombe au kilevi kingine chochote huwa ni kitu kigumu sana sana sana, ila kinawezekana. Kwanza uwe binafsi una nia ya dhati na kweli kuacha (hii ndio msingi wa yote), then anza taratibu kupunguza, kama unapata 3, jaribu kushusha to 2 or 1 a day kwa muda wa kama week moja hivi au zaidi. Ukifanikiwa hilo, ujue the rest is simple.
Kwa kifupi, kuacha ugimbi ni wewe mwenyewe ukitia nia na kuchukua hatua.
All the best kwenye hiyo vita
Hauwezi kwenda bar,ukapunguza pombe kidogo ukiwa na pesa,na hauwezi kuacha pombe kwa kunywa kidogo kidogo
 
piga hesabu hasara:
mwaka
bia 3@1500 4500×30 =135,000×12=1,620,000
nyama 15,000@month =15,000×12 =180,000
other expnses kutoa ofa
usafiri kuhonga nk 50,000@mnth×12=600,000
total 2,400,000

chukua 1,620,000÷1500= 1080

kwa mwaka unakunywa chupa 1,080 ni sawa na cret 54


huonei huruma ini.
Hizi cost za usafiri na kuhonga umezipataje mkuu naomba uzoefu wako japo hunywi!
 
woga kwangu ni msamiati.

ata kama unatumia mil 50 urumia mwili wako.

pombe ni tamuu kwelii kwelii na alianzisha pombe abarikiwe sana.

hoja ni kwamba inyweke kidgo sababu kuu ni kwamba ukinywa nyingi utakufa haraka uache utamuuuuuu.

maneno yangu SIO SHERIA.
sipangiwi chakuandika.
mimi mnywaji mzuri tu. Kunywa pombe hakuna madhara, ilmradi uzingatie kunywa kwa kiasi na kwa mda maalumu. Kunywa kiasi sio unywe kidogo, kunywa hadi ulewe. pia zingatia lishe bora na aina za pombe. maisha Muuuurua kabisa

POMBE ILIUMBWA KUMFURAHISHA MWANADAMU
POMBE NI KAMA UHAI KWENYE ROHO YA BINADAMU
MAISHA YAFAA NINI BILA POMBE?
EE MUNGU ASANTE KWA KUTULETEA KIMEA
ASANTE KWA MIMEA NA VYOTE VITENGENEZAVYO POMBE
ASANTE KWA KUTUPATIA MUDA WA KUPOMBEKA TUWAPO HAPA DUNIANI
ASANTE KWA KUTUPATIA FEDHA KWA MATUMIZI YA POMBE
MLAZE PEMA PEPONI ALIYEGUNDUA POMBE, NI NABII WETU
WABARIKI WOTE WATENGENEZAO NA KUUZA POMBE
WALAANIWE WOTE WANAOPIGA VITA POMBE
WALAANIWE WOTE WANAOCHUKIA NA KUNYANYAPAA WALEVI
OLE WAO WAISEMAYO VIBAYA POMBE - HAWATAUONA MWANGA WA MILELE
OLE WAO WAPIGA VITA POMBE - HAWATAUONA UZIMA WA MILELE
EEE MWENYEZI MUMGU TUNASHUKURU KWA SIKU INGINE TENA
TUNAKUOMBA UTULINDE KATIKA UNYWAJI WETU HADI TUREJEE MAKWETU
UWALINDE WALIOBAKI MAJUMBANI - WATOTO NA WAGONJWA
UWAONGEZEE UVUMILIVU NA BARAKA TELE WAUZA POMBE
UTUPATIE POMBE MILELE NA MILELE
AAAAAAAMINAAAAAAAAAA
 
Chukua hii kutoka kwangu,pombe imenifanyia visa 18 ila kisa cha 14 na cha 18 ndio vipigo vikali zaidi, hasa cha 14,nikiifikiria naiweka tu kwenye kapu,achana na kumaliza pesa mpaka kesho kukopa nauli ya kwenda kazini,au kutafuna mshahara wote kwa usiku mmoja, ntakupa kidogo cha 18, nilipoteza kazi hivyo nilichokua nacho killikua ni kiwanja tu ambacho nilikua nimejidunduliza nikanunua wakati nikiwa kazini,nikajishauri niuze kile kiwanja ili nianzishe biashara, bahati nzuri kikapata mteja nikakiuza bila shida,pesa taslimu milioni 5,kilichotokea baada ya hapo nilisafiri kwenda arusha nikasalimie wazazi na kuwahadithia nilivyoachishwa kazi na kuhusu mipango yangu yanayofuata,nikawaachia hela kidogo nikawaaga,nilipigiwa simu na jamaangu mmoja alikua anaishi arusha,nakwambiaje tulikunywa ile pesa na kubadilisha mademu kwa wiki mbili,nilishtuka ela imebaki milioni moja na elfu semanini,nilikua natoa tu kupitia atm bila kucheki hata balance,toka hapo nikasema jamanieee nakwenda mwenyewe kanisani na naacha pombe tangu jp ile ,leo ni mwaka wa tatu,nakunywa tu juice,dawa ya pombe ni kuamua wewe mwenyewe,halafu nenda kwenye nyumba ya ibada kamwbie mungu nisaidie niache pombe basi
 
mimi mnywaji mzuri tu. Kunywa pombe hakuna madhara, ilmradi uzingatie kunywa kwa kiasi na kwa mda maalumu. Kunywa kiasi sio unywe kidogo, kunywa hadi ulewe. pia zingatia lishe bora na aina za pombe. maisha Muuuurua kabisa

POMBE ILIUMBWA KUMFURAHISHA MWANADAMU
POMBE NI KAMA UHAI KWENYE ROHO YA BINADAMU
MAISHA YAFAA NINI BILA POMBE?
EE MUNGU ASANTE KWA KUTULETEA KIMEA
ASANTE KWA MIMEA NA VYOTE VITENGENEZAVYO POMBE
ASANTE KWA KUTUPATIA MUDA WA KUPOMBEKA TUWAPO HAPA DUNIANI
ASANTE KWA KUTUPATIA FEDHA KWA MATUMIZI YA POMBE
MLAZE PEMA PEPONI ALIYEGUNDUA POMBE, NI NABII WETU
WABARIKI WOTE WATENGENEZAO NA KUUZA POMBE
WALAANIWE WOTE WANAOPIGA VITA POMBE
WALAANIWE WOTE WANAOCHUKIA NA KUNYANYAPAA WALEVI
OLE WAO WAISEMAYO VIBAYA POMBE - HAWATAUONA MWANGA WA MILELE
OLE WAO WAPIGA VITA POMBE - HAWATAUONA UZIMA WA MILELE
EEE MWENYEZI MUMGU TUNASHUKURU KWA SIKU INGINE TENA
TUNAKUOMBA UTULINDE KATIKA UNYWAJI WETU HADI TUREJEE MAKWETU
UWALINDE WALIOBAKI MAJUMBANI - WATOTO NA WAGONJWA
UWAONGEZEE UVUMILIVU NA BARAKA TELE WAUZA POMBE
UTUPATIE POMBE MILELE NA MILELE
AAAAAAAMINAAAAAAAAAA


duh wewe utakuwa mwenyekiti wa chama cha walevi.

kwa ushawishi huu wajumbe wako sidhani kama wataacha
 
Watu wanaenda bar kwa ajili ya kupanga mipango ya kupata pesa, wanywa pombe ambao siyo walevi wana maendeleo balaa kuliko hata wasio kunywa ambao wanakuwa wanzinzi balaa.
daaah kwel mkuu kuna mtu nilimwambia ni Heri mwanaume awe Mlevi wa Pombe lakin sio wanawake walinishangaa sana ila hawakujua naamanisha nin
 
Back
Top Bottom