Insurgent
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 469
- 18
Wanajamvi, nimefikiria...hizi dini zote tumezikuta na zimeanzishwa na watu wengine kutoka nje ya nchi yetu. Ndio kusema sina haki ya kuanzisha dini mpya?
Naomba msaada katika hili, ili niweze kutumia haki yangu ya kuabudu kama ilivyoyakinishwa katika katiba.
Naomba msaada katika hili, ili niweze kutumia haki yangu ya kuabudu kama ilivyoyakinishwa katika katiba.