hahaaa EL ntakukumbuka sana ukifa..yaani kichwa chako kama calculator mweee.JK jana mwenyewe kafyata ..na ukamchana live kuwa yeye ndo alikataza kuvunjwa mkataba wa richmond...haha baba riz kazi unayo
kuvua mbele ya umma wa watanzania wote si kitu rahisi gamba nalo bado linapenda kuheshimiwa,ukililazimisha tu
linatoka na damu,je ukotayari kutokwa damu mwili mzima?
kuvua mbele ya umma wa watanzania wote si kitu rahisi gamba nalo bado linapenda kuheshimiwa,ukililazimisha tu
linatoka na damu,je ukotayari kutokwa damu mwili mzima?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.