Nivue

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
384346_240590219336747_100001573123088_633175_1406917181_n.jpg
 
hahaaa EL ntakukumbuka sana ukifa..yaani kichwa chako kama calculator mweee.JK jana mwenyewe kafyata ..na ukamchana live kuwa yeye ndo alikataza kuvunjwa mkataba wa richmond...haha baba riz kazi unayo
 
halina zip wala vifungo hilo......full-suit....labda kwa grinder ndo mnaweza kulivua kwa kulikata vipande vipande
 
kuvua mbele ya umma wa watanzania wote si kitu rahisi gamba nalo bado linapenda kuheshimiwa,ukililazimisha tu
linatoka na damu,je ukotayari kutokwa damu mwili mzima?
 
moz-screenshot.png
kuvua mbele ya umma wa watanzania wote si kitu rahisi gamba nalo bado linapenda kuheshimiwa,ukililazimisha tu
linatoka na damu,je ukotayari kutokwa damu mwili mzima?
 
Back
Top Bottom