Nitapata wapi solar panels orginal ambazo zinaweza kusukuma pump ya maji kwa wingi na je zinaweza kuwa pannel ngapi na zitakuwa na gharama kiasi gani?

CIA mgumu

JF-Expert Member
Aug 8, 2022
963
1,923
Wakuu habari za ijumaa ya leo naimani tuko salama humu ndani.

Kama kichwa kinanavyojieleza hapo naomba kama kuna mtaalamu wa solar atupe elimu kidogo, kuhusiana na aina gani za Solar ni orginal na je naweza kufunga panel ngapi ambayo zinaweza kusukuma mashine ya maji kwa wingi kwa ajili ya umwagiliaji.
 
Natamani sana niipate lorenz solar water pump.Ni german design, bado nipo kwenye petro ila that is my dream. Watafute lorenz.
Nzufi inauzwa milioni tano. Ila zipo ndogo kuanzia milion1.5
 
Natamani sana niipate lorenz solar water pump.Ni german design, bado nipo kwenye petro ila that is my dream. Watafute lorenz.
Nzufi inauzwa milioni tano. Ila zipo ndogo kuanzia milion1.5
Ahsante nitafanya hivyo wanawebsite au account Instagram?
 
Wakuu habari za ijumaa ya leo naimani tuko salama humu ndani.

Kama kichwa kinanavyojieleza hapo naomba kama kuna mtaalamu wa solar atupe elimu kidogo, kuhusiana na aina gani za Solar ni orginal na je naweza kufunga panel ngapi ambayo zinaweza kusukuma mashine ya maji kwa wingi kwa ajili ya umwagiliaji.
Habari Mkuu,
Ni dhahiri unahitaji msaada katika hili.
Binafsi nina maswali kadhaa ya kukuuliza kabla sijasema utumie solar gani, panel ngapi na mengine mengi.

1.Pump ya petrol unayotumia ina uwezo gani hasahasa electrical power rating?
Katika hili unaona inakidhi ufanisi?

2.Unatumia muda gani kumwagilia shamba lako lote , na ni mara ngapi kwa siku ?
 
Habari Mkuu,
Ni dhahiri unahitaji msaada katika hili.
Binafsi nina maswali kadhaa ya kukuuliza kabla sijasema utumie solar gani, panel ngapi na mengine mengi.

1.Pump ya petrol unayotumia ina uwezo gani hasahasa electrical power rating?
Katika hili unaona inakidhi ufanisi?

2.Unatumia muda gani kumwagilia shamba lako lote , na ni mara ngapi kwa siku ?
Shamba lina ekari 40 pumb bado Sina na ndio nipo hapa kutaka kupata ushauri ni pumb ya hp ngapi unitumie na kisima kina urefu wa miter 100 na nataka maji yatupwe umbali wa mita 400 walau mashine Iwake masaa 6 mfululizo kwa week mara moja tu
 
Wakuu habari za ijumaa ya leo naimani tuko salama humu ndani.

Kama kichwa kinanavyojieleza hapo naomba kama kuna mtaalamu wa solar atupe elimu kidogo, kuhusiana na aina gani za Solar ni orginal na je naweza kufunga panel ngapi ambayo zinaweza kusukuma mashine ya maji kwa wingi kwa ajili ya umwagiliaji.
Salama mkuu! Mie Sio mzoefu sana kwenye solar lkn najua kuna Sehemu nilipata link ya wauzaji wa Pump za Maji zinazotumia Solar. Pale nilipata contacts za wauzaji kama 100 ambao wanashughulika na uuzaji wa hizo solar pump kwahio ikanipa uwanja mpana wa kuchagua iliyo na bei nzuri maana niliweza kuongea moja kwa moja na muuzaji. Solar Water Pumps | Tanzania National Commercial Directory - NCD
 
Shamba lina ekari 40 pumb bado Sina na ndio nipo hapa kutaka kupata ushauri ni pumb ya hp ngapi unitumie na kisima kina urefu wa miter 100 na nataka maji yatupwe umbali wa mita 400 walau mashine Iwake masaa 6 mfululizo kwa week mara moja tu
Mkuu hapa naona generator ndio nafuu zaidi...vifaa vya solar hapa nchini bado vinasumbua sana.....
 
Mkuu Mimi nilikuwa na wazo Kama lako enzi nikiwa jobless Kuna campuni ya chini nilisha wai fanya nayo mpk mazungumzo online ila nilikuja wapotezea baada ya kuanza kula keki ya taifa.
Ila kitu Cha kwanza jua mota yako in hp ngap then ujue utaiendesha kwa muda gani mm Kuna mdau huku alinifanyiaga esabu
 
Hata hiyo motor Sina ndio nataka nifunge vyote kwa pamoja na ndio nahitaji kupata maarifa kabla sijakurupuka
 
Waone Dayliff mkuu, wana Pump za Solar.
Nikitulia naweza kukufanyia hesabu za haraka ili tujue unahitaji Pump ya aina gani na Solar yake.
Sawa mkuu isome vizuri post namba 6 ili hesabu zako ziwe vizuri
 
Hii mtaalamu aliniandikia kwa ajili ya shamba la ekari 30 njombe, haliko tambarare. Ila bado sijaweza kununua vifaa hadi sasa
Screenshot_20230320-081859_WPS Office.jpg
 
Back
Top Bottom