utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 990
- 800
Poleni na miangaiko yenu wan JF naombeni lakini msaada wenu kidogo ivi niki soma degree ya Public Relations and marketting kweli ntaweza kuchukuliwa kufanya kazi inayousu Marketing naombeni msaada wa mtu mwenye experience au anayemjua mtu aliyo isoma na kuajiriwa kwenye kazi ya Marketing.. Ahsanteni nyote