Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Waheshimiwa simu yangu mara kwa mara huwa inazima pale ninapopitia hoja kadhaa za wanaJF wenzangu. Ninapo click ili nione mwenzangu amesema lipi ili nichangie, simu huanza kusearch na kisha huzima ghafla na kujiwasha tena. Naomba kusaidiwa nifanyaje kuondoa tatizo hili?