mi msingi wangu ni sh. laki 3 na nusu je inawezekana?
Fungua banda la video kama unakaa uswazi litakulipa uoneshe movies zilizotafsiriwa kiswahili ili badae ufungue library ya kukodisha CDs. Kwa mabanda mengine yanayofanya biashara kama yako.
Kulipa kunaendana na mtaji uliowekeza ndo maana wakasema high risk,high returninalipa sana?