Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
<br />mkuu hilo ndo sababu<br />
sio kila mwanamke anajua kupendwa kukoje<br />
wengine wanataka uwe ngangari hivi,usionyeshe hisia sana<br />
usijisahau.....<br />
So cha kufanya tafuta mwingine wa haraka wa kuzugia kwanza<br />
wa kukupa kampani...huku unatafakari...itasaidia....<br />
Halafu jipange upya...<br />
Anza kujipenda mwenyewe zaidi...
<br />
We Boss ushauri gani huu sasa!? Mwone vile