Nisaidieni wana jf.

mkuu hilo ndo sababu<br />
sio kila mwanamke anajua kupendwa kukoje<br />
wengine wanataka uwe ngangari hivi,usionyeshe hisia sana<br />
usijisahau.....<br />
So cha kufanya tafuta mwingine wa haraka wa kuzugia kwanza<br />
wa kukupa kampani...huku unatafakari...itasaidia....<br />
Halafu jipange upya...<br />
Anza kujipenda mwenyewe zaidi...
<br />
<br />
We Boss ushauri gani huu sasa!? Mwone vile
 
Mbu. The one you love you do share both your stupid and intelligent Ideas. you do all sought of things, Constructive and non-constructive. you really know each other well. you can describe your partner more than any other person, Then you End up calling her stupid!!

Exactly,...alihitaji space ku sort out yaliyomo kichwani mwake, ila wewe ndio hivyo tena ukawa unafululiza kum distract.
if you know her really well, utamuelewa na kumsamehe.

Kila la heri.
 
Am going 32 in some coming months now. I'm not married but i have a kid, it happened that am moving with a certain lady hapa mjini leo muda huu saa nne usiku nimepiga simu yake zaidi ya mara tano and the phone was just busy napiga mara ya sita nikakuta iko off nikaamua kumpigia room mate wake, room mate wake akaniambia amekuja home lakini alitoka nilivyokata simu tu naye akapiga na kunikaripia sana kwenye simu eti kwanini napigia watu simu kumtafuta na kuniita STUPID. Jamani nimeishiwa nguvu.
babu hiyo imekula kwakoooooooooooooo
 
Am going 32 in some coming months now. I'm not married but i have a kid, it happened that am moving with a certain lady hapa mjini leo muda huu saa nne usiku nimepiga simu yake zaidi ya mara tano and the phone was just busy napiga mara ya sita nikakuta iko off nikaamua kumpigia room mate wake, room mate wake akaniambia amekuja home lakini alitoka nilivyokata simu tu naye akapiga na kunikaripia sana kwenye simu eti kwanini napigia watu simu kumtafuta na kuniita STUPID. Jamani nimeishiwa nguvu.
chukulia poa labda alikuwa na hasira na kitu kingine wewe ukajichanganya ikala kwako inauma sana ukimpigia simu mwenzio especially usiku asipopokea but that is life
 
Am going 32 in some coming months now. I'm not married but i have a kid, it happened that am moving with a certain lady hapa mjini leo muda huu saa nne usiku nimepiga simu yake zaidi ya mara tano and the phone was just busy napiga mara ya sita nikakuta iko off nikaamua kumpigia room mate wake, room mate wake akaniambia amekuja home lakini alitoka nilivyokata simu tu naye akapiga na kunikaripia sana kwenye simu eti kwanini napigia watu simu kumtafuta na kuniita STUPID. Jamani nimeishiwa nguvu.
Can you have peace of mind in whatever you may decide?
 
Aisee unabahati hakumpa jamaa akwambie. ''Sorry yupo bafuni anaoga''. Anyway kama ulikuwa mwaminifu basi ujue mungu kakupenda na kukuonyesha kuwa hamtofika mbali. Usiwe na hofu na umri maana tunapanga vingapi na hivfanikiwi yupo wa kwako aja wala umri wako hautamzuia kupenda na utatimiza mambo yako vizuri tu. Stay strong usiharibu program zako.
 
Oyaa..wee mlachake..huyo demu alikuwa anaongea na mie new boyfriend wake..wewe amestukia unamzingua maana upo 32yrs old na mtoto ulezaa na demu mwengine kisha ukamwaga hujamwoa amekusoma unamchezea soo ameamua kuwa nami nisiyemchezea na kumpotezea muda wake na hata nikimwoa hatopata usumbufu wa kuitwa mama wa kambo...sijange dogo... Kama hutaki au huamini leo mpigie simu uone atavyokumwaga... na nimemwambia ukizidi kumfuatilia atakuunganisha nami nikupe vipande live.. CHAPA LAPA DOGO MCHUMBA NDO KESHA KUMWAGA.
 
Oyaa..wee mlachake..huyo demu alikuwa anaongea na mie new boyfriend wake..wewe amestukia unamzingua maana upo 32yrs old na mtoto ulezaa na demu mwengine kisha ukamwaga hujamwoa amekusoma unamchezea soo ameamua kuwa nami nisiyemchezea na kumpotezea muda wake na hata nikimwoa hatopata usumbufu wa kuitwa mama wa kambo...sijange dogo... Kama hutaki au huamini leo mpigie simu uone atavyokumwaga... na nimemwambia ukizidi kumfuatilia atakuunganisha nami nikupe vipande live.. CHAPA LAPA DOGO MCHUMBA NDO KESHA KUMWAGA.

All the best budy,

Kuvuja kwa pakacha
 
ina uma sana lakini jipe moyo uwe jasiri, wala usiwe na papara ya kutafuta mwingine, tuliza akili yako. Maumivi yote yataishatuu. Hakuna lisilo na mwisho
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom