bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
???????
umeona eeeeeeeeeeeej mpwa!!! kuku tu mtu mpaka na tiketi anataka kumkatia aaaaaaah!!!
???????
Jamani poleni na majukum,kiukweli mshahara haunitoshi kabisaaaaaaa,natamani nifanye biashara lakini sijui ni ipi,nina kamtaji ka sh m5,nahitaji ushauri wenu,Mungu awabariki sana
umeona eeeeeeeeeeeej mpwa!!! kuku tu mtu mpaka na tiketi anataka kumkatia aaaaaaah!!!
Si ili kama wana mafua ya kuku arudi nao jamani !!!!
Msamaha nataunguliza !!! Majina haya huwa yana changanya !!!mm mwanamke mbn ur toking to me as if mm men?
Mhh,umeona eeeeeeeeeeeej mpwa!!! kuku tu mtu mpaka na tiketi anataka kumkatia aaaaaaah!!!
sema nikuwashie mshumaaa basi Emma!!!Mhh,
niko gizani hapa.
Bado ni mapema rafiki.sema nikuwashie mshumaaa basi Emma!!!
sawa rafiki ukihitaji mshumaa sema usisite!!! i will be there to light it for you!!Bado ni mapema rafiki.
Nitachekwa na kuonekana chizi.
Mezea tu bht.
Namna rahisi ya kukushauri ni kwamba, mara nyingi utafiti rahisi unaonyesha kwamba vile vitu ambavyo wewe ni mteja mkubwa ndiyo vitu vya mwanzo kabisa kufikiria kuvifanyia biashara. Mfano chakula, mavazi na vitu vingine vya mahitaji ya kila siku.Jamani poleni na majukum,kiukweli mshahara haunitoshi kabisaaaaaaa,natamani nifanye biashara lakini sijui ni ipi,nina kamtaji ka sh m5,nahitaji ushauri wenu,Mungu awabariki sana
Nahitaji 69 jumamosi..!! Bei haina shida naweza kukuongeza kama watakuwa watamu..!!
hahaaaaaaa, nini tiger???
nahitaji kuku wa kienyeji,ninayo nafunga hme kwangu but ukitaka nakuletea ulipo kama ni dar
and who says so!!!!!!!!!!!! humu ndani wadumisha mila sio Goeff na Xpin tu!!! wengine wanafanya silently.
mpwa NL wewe je???? dont tell me u dont maana even KKaizer (mzee wa kigangoni)is in the list
nahitaji kuku wa kienyeji,
tunaweza kwenda chemba?
saaaaaafi!Homu boi vipi kimeeleweka?