Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
nimefurahi kuongea na ww natumahi tutafanya biashara kama tulivyoongea,kazi njema.
...ndo maana mimi nilikuwa nakushangaa eti umekosa soko la kuku wa kienyeji dar....???
nimefurahi kuongea na ww natumahi tutafanya biashara kama tulivyoongea,kazi njema.
hapo vp?
......!vipi wanasemaje basihaya?mnatunyima nin?
.....KUELEKEA 2010....!ROAD BLOCK by wananchi wenye hasira! Hahaha!
wote?kivipi?kina nani?
nadhani anamaanisha kuku.wote?kivipi?kina nani?
.....KUELEKEA 2010....!
something is not right smwhr
ah ah ah kuku sawa
aha ahaha.mkuu G uliza kwanza kama yuko occupied au single?Fungua sehemu ya massage tuwe tunakuja kupata huduma za migongo migongo.
Masharts ndo chakula gani? Kama unauza na laptops kumbe ulikosea kuandika milioni 5 badala ya 50 labda?eeeeeeeeeeeeeeeeh,laptops,masharts,perfume
Mtafanya siyo? Haya bana! Kila la kheri!
aha ahahha,si watafanya walichokubaliana? G alikuwa anataka kuku lakini binti ana biashara nyingi,nawe xpin kama unataka sema
Very good! Kama umeweza kufanya biashara ya kuku wa kienyeji na kujikuta una ''savings'' za 5m basi hiyo si haba! Hata hao akina Bakhresa walianza hivyo hivyo. Kwa sasa, ningekushauri ufikirie jinsi ya kuboresha zaidi hiyo biashara yako badala ya ''ku-diversify''. The devil you know is better than an angel you don't know!
Labda kama umegundua kwamba soko la kuku wa kienyeji haliwezi kukua zaidi hapo lilipo hivyo umeamua kuwekeza kwenye fursa zingine za biashara basi utuambie, kisha tuanzie hapo.